Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Anaweza kuleta tafrani xmass ikawa taabu tupu.Sasa mtu anaitwa poor brain na anatak mualiko wa nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuleta tafrani xmass ikawa taabu tupu.Sasa mtu anaitwa poor brain na anatak mualiko wa nini sasa?
Aaaah mkuu mbona hatareee hyooNasikia magogoni Mama ana karamu ya krismasi kiingilio ni nida tu unaweza ukajongea mitaa hiyo🐼
Daaah mkuu hapo karibu tuu ka nachukua gari basi nashuka zangu kiponza hapo....Nipo hapa free park Ila ntasepa muda wa saa 9 karibu sanaa
🤣🤣🤣🤣Daaah dactar nasubri bana...
Saaa sio ifike mwaka mpya uanze kusema mambo ya frequence sijui zimezidi energy...
Wee nakustaki 😀😀😀
Mzee,Daaah mkuu hapo karibu tuu ka nachukua gari basi nashuka zangu kiponza hapo....
Daah mkuu ngoja nicheki mazingira ya kuja if possible maana safar ya gongo la mboto mpaka huku ni sawa na dar to moro
Yaani jamaa kaleta taflani kwenye kijiji chetuAnaweza kuleta tafrani xmass ikawa taabu tupu.
usijali komweMi najiheshimu ila nakushangaa weww unasema mambo ya hovyo
Dr hauchelewi kusema nina frequency ndogo..🤣🤣🤣🤣
Mkuu mi huko napajua before hyo azam ajachukua uwnja..Mzee,
Mpaka kiponza unapajua haaahaa😊☺️☺️ karibu bwanaa..
Daaah mkuu ngoja tuone maana mpaka ubao unasoma sehemu za mbali na hapa.gomziBaada ya kushiba karibu Tabata tule bata mkuu.
Karibu sana.Daaah mkuu ngoja tuone maana mpaka ubao unasoma sehemu za mbali na hapa.gomzi
kwann wasienjoi?ila wakileta ujinga wananijuaDaaah wee jamaa hvi huko nyumbani wana injoi kweli kuwa na baba kama wewe mkuu
Santee mkuu nikifika hapo takustuaKaribu sana.
Poa poaSantee mkuu nikifika hapo takustua
Sasa mkuu mbona unafanya maisha yawe magumu hapo kwenu sasa..kwann wasienjoi?ila wakileta ujinga wananijua
Pole kijana, nenda kwa mangi apo uchukue unga na dagaa,. Siju ishaisha hii
🤣🤣Dr hauchelewi kusema nina frequency ndogo..
Mara energy yangu ina nini sijui
Sikukuu ni ya wote mkuuAaaah mkuu mbona hatareee hyoo
Mama kwanza ni muisilamu yule ujue 😀😀😀