Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Mkuu barikiwa🔥🔥🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu barikiwa🔥🔥🔥🔥
asante braza
Mkuu 🔥🔥😅😅 nakuwekea mualiko wako ni wewe tu ushindwe kuja✌️😀
Weee jamaa mndyku kumbeee 😀😀😀😃😃bichwa komwe Acha kutusumbua tafuta bahasha
Sawa mkuu sema ujue hata nauli kipengele ujueSawa,fika haraka uisalimie familia hapa.
bichwa niaje kinyeo kipo poa?Weee jamaa mndyku kumbeee 😀😀😀😃😃
Wote hatuna pesa ,ila nimeokota shilingi mia tano hapa hivyo nakutumia shilingi mia ,utapokea kwa njia gani?Sawa mkuu sema ujue hata nauli kipengele ujue
Asante mkuu.
Nilijua tuu..Mkuu , 😊😊sisi tupo mikoani Ila lazima upate kamnuso
Duuh mkuu mbona hatar hyoTumia google map,ukifika ulizia watu "kwa kijana wa zamani"
Ndio napenda sana mimiUnapenda mialiko eeh
Sasa mkuu mbona unasema asante..Asante mkuu.
We mdogo angu mbona upo hvoNajua haiwahusu wakuu, ila saivi tayari kuna mtu keshanyoa zawadi yake ya Christmas.
We jamaa jiheshimubichwa niaje kinyeo kipo poa?
Nipe location mkuu wangu...Mkuu 🔥🔥😅😅 nakuwekea mualiko wako ni wewe tu ushindwe kuja✌️😀
Sema we blood jau sana ujueasante braza
msalimie shemSema we blood jau sana ujue
UtapataNdio napenda sana mimi