didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Je uandishi wako?Na kwann uchague hilo jina? Angalia nimejoin lini JF na hizo kesi za didy zimezuka lini alafu utapata majibu.Mkuu hilo jina tuu
Kwani ww pia una sadifu jina lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je uandishi wako?Na kwann uchague hilo jina? Angalia nimejoin lini JF na hizo kesi za didy zimezuka lini alafu utapata majibu.Mkuu hilo jina tuu
Kwani ww pia una sadifu jina lako
Sema we jamaa una take vitu seriously sana..Je uandishi wako?Na kwann uchague hilo jina? Angalia nimejoin lini JF na hizo kesi za didy zimezuka lini alafu utapata majibu.
Ukipata mialiko mingi nigaie mmojaYoyote yule ambaye yupo tayari kutoa mwaliko Mimi nipo tayari..
Location Gongo la mboto...
Nafika sehemu yoyote ile ndani ya jiji la dasalamu..
Nakuja na vitendea kazi vyangu
Kama Kijiko
Ndizi
Kachumbari
Maji na soda...
Ahsante sana
Update::
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Sema mood jau sana mi title sijaweka hivo wakuu 🙌🙌🙌🙌
Sawa mkuu ngoja niku add paleUkipata mialiko mingi nigaie mmoja
huyu jamaa jana alikua maji hatari sjui kama ameshaamka🤣
😀😀😀😀😀😀😀😀huyu jamaa jana alikua maji hatari sjui kama ameshaamka🤣
Kabisa ukijihisi umepona unaweza nichek sku yoyote hasa weekend uje ule na unywe had ushindwe kutembeaSema we jamaa una take vitu seriously sana..
Chakula si cha kumnyima mtu blood.
Unataka kusema jina limenikosesha mwaliko ndgu yangu
Daaah wee jamaa hvi huko nyumbani wana injoi kweli kuwa na baba kama wewe mkuuKabisa ukijihisi umepona unaweza nichek sku yoyote hasa weekend uje ule na unywe had ushindwe kutembea
Mnafanyaje mkuu..Wewe Sisi wenzako Tupo Zanzibar huku
Mkuu mapema kabisa ngoja nifanye huo mpango..Njoo hapa Palm village ukifika getini au mlango wa kuingilia ulizia Mr Peyo utaelekezwa.
Nitakuepo hadi saatisa na nusu then saakumi jioni nategemea kwenda na wadau kutoa sadaka Temeke hosptalini .
Hivyo njoo tuungane