Yeyote mwenye mwaliko wa Sikukuu ya Christmas afunguke, nakuja na vitendea kazi vyangu

Yeyote mwenye mwaliko wa Sikukuu ya Christmas afunguke, nakuja na vitendea kazi vyangu

Ungekua mzima wa ubongo ningekukaribisha hapa mikocheni sema sku ukipona ubongo nishtue uje mikochen kama unapiga bia ulewe had ushindwe kutembea
Mkuu mchawi sio lazima akuloge..
Ila hata unayofanya ww huu ni uchawi..

Sasa mimi nani kasema nina ubongo mbovu
 
Back
Top Bottom