Makosakuumbwa
Senior Member
- Mar 28, 2015
- 141
- 205
Mkuu kama hujapata matatizo utaona jambo la ajabu sanaa ila yakikukuta utaona kujiua au kuua ni jambo rahisi sanaaa.Acha wanaume wasiokuwa na akili timamu wapungue, trump hajakosea.
Baba familia ikikushinda suruhisho sio kujiua....ukijiua unatenda dhambi nyingine...unamuachia nani familia?
Nani akulele watoto wako?. Angeondoka na familia yote sio kwa upumbavu alioufanya
Babu kokubangas na kurekodiwa hajajiua huyu anajiua kwa matatizo ya mke.solution ni nyingi ikishindikana ni divorce tu unabaki na amani moyoni,kuliko kuishi kwa stress ambazo mwisho wke ndio kujiuaRest in peace,kweli tupo tofauti katika kudeal na matatizo ya ndoa.Jamani maisha yalivyo matamu namna hii mtu anaanza vipi kukatisha maisha yake?Any way kila mtu ana namna yake ya kudeal na matatizo yake.
Mchaga na mnyakyusa wapi na wapi,mchaga hamuwezi huyo miaka 100Apumzike kwa amani. Ila sisi wanawake jamani.
Huyo mwanaume nae ni mbinafsi unajiua unaacha watoto. Sasa akijiua ndo Eng hataacha kumla mke wake au? Wanawake tulivyo wengi si angejichagulia mmoja wake amkomeshe mke wake na yeye.
Siyo wa siku hizi! Tena mbona vzur tuInasikitisha sana huyo mke hataishi kwa raha poleni mno wafiwa pumzika kwa amani yona
Nnavyokuona .....Kila jambo lina uzito wake ndugu kulingana na mhusika. Mm hupenda niishi na familiia kwa amani na upendo.
Tuachie hapa. Inatosha
hata mimi ujue nashangaa hili neno jinsi linavyotumika bila watu kulitafakari.... haya maneno aliyasema ayubu akiwa katika majaribu mazito lakini mwishowe aliyashinda yote..Milele amina.
Bwana kamtoa roho kwa sumu.
Watakula icho kichwaMke ataenda msibani?
Huyo ndio mkewe?
Vipi mama yako naye alipigwa tuu, anyway na watoto wako wa kike nao watapigwa tuu.Daahh mdau
Yaani ninyi viumbe siwaamin milele mwanzo wa ulimwengu tuu mlidanganyika
Hakika sintooa cha msingi ni watoto tuu ninyi kupiga tuu
Wengi sana wanalia ndani yao, hawana mtu wa kumwambia, bora sis wamama tukilia tukilia tunapunguza vingi.
Mungu awasaidie waume zetu
wewe ni rahisi kuuwa!! Unaambiwa samehe Saba mara sabini au achana naeNnavyokuona .....
Please jipende kwanza kabla ya kupenda yeyote!
Maisha zawadi usiitupetupe,iienzi!
Nilishaumizwa sanaàa! Au niliumia saaana!
Sijapigwa kibao,hivyo sujaumizwa ,niliumia sana!
Sitakaa nisahau!
Diari ya mwaka huo sitaki kuipitia!
Mapenzi yanauma sana! Sikuweza Kula ,nilipungua uzito zaidi ya kilo 15 ndaninya mwezi bila zoezi wala diet! Nilikuwa kama kichaaa!
Lakini nilisimama kwa kusali na kuomba,ila nilikaribia kufa!
Nihisia tuuu zako binafsi,mwenzako wala hakujali wala hakifeel hata kidogo! Kwanza anakushangaa tuu unavyohangaika!
Nakuelewa ,jipende kwanza wewe wewe mwenyewe ndio wengine wafuate!
Nilijifunza kuchukia japo ngumu,nilimchukia jamaa hatari! Mpaka sasa niko nae, simtegemei sana kunipa furaha! Ananipa pesa magari,na vingine, lakini hisia zangu bado hazijarudi kama mwanzo 10 yrs!!
Zungumza humu ,acha yapite,chati,Cheka,furahi,
But sali sana!
Mwisho wa siku wote tutakufa!
Usijiue usiue
Hakupashwa kufanya alichokifanya
Ni kweli mkewe maisha yataendelea
Hakuwaza watoto
Mungu amsamehe
Pumzika kwa Amani Mkuu!
mimi nimesikia tu mkuu
Kwa heri Yona! Wakati anaanzisha Wanabidii, nilipokea email ya kukaribishwa kujiunga Wanabidii wakati tulikuwa hatufahamiani. Na ndugu zangu wengi sana walipata huo mwaliko. Swali kwa wana-IT: Je, alipate email addresses nyingi hivyo za watu wasiomjua? Aliingia kwenye server za Google na Yahoo?
Apumzike kwa amani. Ila sisi wanawake jamani.
Huyo mwanaume nae ni mbinafsi unajiua unaacha watoto. Sasa akijiua ndo Eng hataacha kumla mke wake au? Wanawake tulivyo wengi si angejichagulia mmoja wake amkomeshe mke wake na yeye.
Nimeongeza miaka mitatu ten ya kuchelewa kuoa ila mtoto ni muhimu
Poleni wafiwa.
May all beings attain enlightenment.
Poleni wafiwa.
May all beings attain enlightenment.