TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Pole kwa familia ya marehemu hasa hasa watoto wake
 
Dah...

Yona amenisikitisha sana to be true. Nimetoka naye mbali sana. Tangu 2002 tulipokua tunaanza kuhangaika na utundu wa mitandaoni. Na mambo mengine mengi ambayo siwezi kuyasema lakini kwa ufupi alikua ni kijana very bright na aliyeipenda nchi yake kwa moyo wote.
 
Kwa heri Yona! Wakati anaanzisha Wanabidii, nilipokea email ya kukaribishwa kujiunga Wanabidii wakati tulikuwa hatufahamiani. Na ndugu zangu wengi sana walipata huo mwaliko. Swali kwa wana-IT: Je, alipate email addresses nyingi hivyo za watu wasiomjua? Aliingia kwenye server za Google na Yahoo?
 
Daa fb huwa allikuwa anapost mno group LA ulinzi na usalama....
Mkuu tusaidie CV yake...
 
Ukiona mwanamke ameanza kuchepuka ndugu yangu ujue huna miaka mitano mbele, Either atakuua au utakufa kutokana na msongo wa mawazo.. Ushauri ni bora ukaachana nae na kuendelea na ishu nyingine halafu kwa nini mjini wamama wenye nyumba ni wengi?
 
Ukiona anazingua ɓeɓa ɓeg lako anza upƴa hata ƙama unanini pale kwako.Nilipoona nazidiwa mɓinu na x wife nilinƴanƴua mikono nikaanza upƴa.Leo mwaka 9 naishi na nilijenga nƴumɓa nƴingine nikachukua wanangu naishi sikuona haja ƴa kuidhulumu nafsi kuishi.Wanaume tujitahdi kuɓadili mɓinu siƴo za kujiua hivi.
 
Alikuwaga active humu JFmiaka ya nyuma;sema nimesahau user name yake.
Hii mitandao na kujenga hoja haiwezi kumwacha mtu salama. Utakaa kwenye mitandao masaa yote na utaingiza kipato saa ngapi. Mke inaonekana ndiye alikuwa bread winner na kama kawaida lazima akupandie. Ni vyema vijana hasa wa CDM na CCM wanaokaa humu ati TL ati Lowassa wakajikita katika kusaka shillingi la sivyo wengi watamfuata. Hapa JF watakaofanikiwa ni akina Nifah, The bold na ONTARIO wanaofaidi kwa kutumia mitandao
 
Back
Top Bottom