Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nikifikiriaga nachookandoa hizi duh.... ambao hatupo tunataman kuingia, na ambao mpo mnataman kutoka.....
poleni wafiwa
Ni PM alikuwa maarufu hapa JF moja ya wataalamu wa IT na mchambuzi mahiri wa mambo ya kidunia na teknolojia hapa JFmbona smjui?
R.I.P Yona.
Mapenzi hayana u-smart ndugu tena mke.... Afu na nyie mmezidi bhanaVitu vingine unaweza usitegemee kwa mtu smart kama Yona ....sijui ndio pepo la mauti! Dah
Amen Asante Sana kwa ushauri mzurikujiua ni roho ya mauti, kama hauna ulinzi wa Mungu ikikupata hata hautajua kwanini unajiua, ila ukitaka kujiua ukapona siku Mungu akakufungua macho utajilaumu kwanini ulitaka kufanya maamuzi ya kijinga. hata yeye kama angepata nafasi ya kupona, kuna siku angejishangaa kwasababu wala sio yeye, ni roho chafu ya mauti. mkimbilieni Bwana ili awe mliinzi wenu, bila yeye hakika mtu yeyote anaweza kufanya lolote wala sio wa kumlaumu huyo Yona kwa maamuzi ya kijinga, laumuni shetani.
Hahahaha, shkamoo kaka mkubwaHumu kuna watu tunafahamiana toka enzi za darhotwire,dar chat then jambo forums kabla haijawa JF.
Basi tu saa nyingine tunajifanya hatujala chumvi
Jina lako la heshimaUtanitoa wapi
Nani kakuambia, mimi sitoki hata iweje!!ndoa hizi duh.... ambao hatupo tunataman kuingia, na ambao mpo mnataman kutoka.....
poleni wafiwa
Tupo pamojaManka unakosea Ndugu yangu
Kumbuka darasani mnafundishwa wote wengine wanapata mia wengine sifuri
Ndivyo tulivyoumbwa
Umenikumbusha mbali sana hayo mashairi. Duh RIP BIGUntil we take our final breath you will live in our heart, your love will light our way. Your memory will forever be with us. Every step we take, every move we make, every single day and every time we'll be missing you!
R.I.P brother!!