Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama,wangapi tunaona wanaachana kwani hiyo yake ndo ya kwanza kuwa na changamoto kama zake?Hakuna utetezi wa maamuzi ya kujiua regardless unapitia yapiNdoa ni mwiba mkuu,bila ya kumshirikisha Mungu unaweza kufanya uamuzi wowote ule,hata kama utashirikisha marafiki,ndugu,wanasaikolojia,wachungaji na vitu vyote ujuavyo,usipokuwa karibu na Mungu ni kazi bure..
Ah ah ah ah nacheka kama mazuri, comment yako imenifanya nicheke.Alikuwa guesthouse! Ambaye hayajamkuta anaweza kudhani jamaa alikuwa Mpuuzi la hasha akinamama wana viboko ambavyo vikikuingia unaweza fanya uamuzi kama huo
kweli kabisaPunguza jazba!
Kila siku humu mnajadili migegedo,
Michepuko ndio mpango mzima,sio mpango kando
Mbona wanawake hawajiui na mipango yenu ya kando ?
Wote tuache uzinzi!
Fuul stop!
Unaelewa ulichoandika Dada yangu hakukua na haja ya kuandika hayo Mkuu wangu nnayekuheshmu hapa kwa jukwaa!!!ndio mjue mwanaume hata awe vipi kwa mwanamke ni dhaifu,RIP Yona
Ila wanavyojifanyaga vichwa ngumu sasa!!ndio mjue mwanaume hata awe vipi kwa mwanamke ni dhaifu,RIP Yona
...wewe washajiua wangapindio mjue mwanaume hata awe vipi kwa mwanamke ni dhaifu,RIP Yona
Wengi sana wanalia ndani yao, hawana mtu wa kumwambia, bora sis wamama tukilia tukilia tunapunguza vingi.Kumbe ule utafiti unaosema wanaume wengi hufa mapema kwa msongo wa mawazo ni kweli..kwa hili naona marehemu ameshindwa kuvumilia kuumia ameamua ajimalize pole yao familia
Ndivyo inavyokuwa. Cha msingi umtambue mwenza wako mapema. Mwingine kbl ya kufunga ndoa amekuwa amekuonyesha ishara amekuonyesha huyu siyo mke lkn utakuta mtu anabeba hivyo hivyo akiamin atabadilika ndiyo matokeo yanakuwa hivi.Walio kwenye ndoa zinafukuta wanatamani kutoka, walio Nje wanatamani kuingia kwa kila namna. Duh!
Pole wafiwa, RIP marehemu.
Ugonjwa wa kupenda ni mbaya sana. Mimi kuna mwanamke mmoja kutokana na ugonjwa wa kupenda amechukua fedha zake akawekeza kwangu millions na mimi kusema kweli kila nikijitahidi nimpende nashindwa yan sometime namuomba Mungu anishushie upendo nimpende tu lakini daah namuachia Mungu.Ndo ushangae jamani.
...wewe washajiua wangapi
Mnatutesa sana nyie wanawake. Inafika kipindi mpaka tunalia kwa ajili yenu. Mm mwenyew naandika lkn nina mzigo mzito sana kwenye moyo wangu. Usione wanawaume tupo barabaran lkn......... Mungu ndiye anajuaWengi sana wanalia ndani yao, hawana mtu wa kumwambia, bora sis wamama tukilia tukilia tunapunguza vingi.
Mungu awasaidie waume zetu