BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Rip
Wakati mwingibe bi vyema kumuacha aende.....
Ugali mtamu hata kama vyuma vimekaza
Wakati mwingibe bi vyema kumuacha aende.....
Ugali mtamu hata kama vyuma vimekaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine tumeachana na wake zetu kistaarabu na tunafurahia maisha ya kuwa single!Hata hivyo watu wasioamini katika maamuzi kama haya wanatushangaa sana,lakini ni bora zaidi kuliko kuua ama kujiua.
Na haya maneno yenu ya kibamia kuna watu wanayaweka akilini sana.Unakuta mke anakuchana live kuwa anachelewa kurudi kwa vile alikuwa anamalizia muhogo wake,bamia inampa kichefuchefu!
Kwa wanaume wenye roho nyepesi ndo huamua kuchukua maamuzi kama hayo ama kuchinja kabisa mkewe.
Kama haumpendi humpendi muache tu.Yaani ukate mawasiliano nae.Mimi pia ni mweupe ningepropose,hahahahahah.Hawezi kunitegeshea mimba maana simpendii hivyo nilisex naye kwa tahadhari....Huko kwenye mitandao ana post maneno ya kuhuzinisha na kusononesha sana huwa hani post ila anavyo post ni kama mtu anayelilia kitu sana. Ndiyo maana nikatamani hata basi Mungu anishushie moyo wa upendo basi yaishe.
kwanza moyo unajikuta unaungua kila siku roho inakuwa nyeusi mie nasemaga bora to speak it out !nashangaa wengi sana wanaponda ohh tunasema ya ndoani !mie nitasema siku na wakati wowote ule nikiamua !inasaidia mno mno !Tabia ya kukaa na matatizo moyoni mbaya sana, bora angeachana na huyo mwanamke kila MTU akashika 50 zake jamani.
Ukiona mwanamke ameanza kuchepuka ndugu yangu ujue huna miaka mitano mbele, Either atakuua au utakufa kutokana na msongo wa mawazo.. Ushauri ni bora ukaachana nae na kuendelea na ishu nyingine halafu kwa nini mjini wamama wenye nyumba ni wengi?
Kinachowamaliza ni kuweka vitu ndani hivyo vinakuwa vinawamaliza taratiiibu. Ukute kazini stress, familia nayo stress, akirudi nyumbani napo stress. Hilo bomu linalojipika siku likilipuka ndio kama haya.Kumbe ule utafiti unaosema wanaume wengi hufa mapema kwa msongo wa mawazo ni kweli..kwa hili naona marehemu ameshindwa kuvumilia kuumia ameamua ajimalize pole yao familia
Sio wote wanaoweza kuchukua maamuzi kama yako, wengine ndio kama huyu sasa. Too bad[emoji134]Ukiona anazingua ɓeɓa ɓeg lako anza upƴa hata ƙama unanini pale kwako.Nilipoona nazidiwa mɓinu na x wife nilinƴanƴua mikono nikaanza upƴa.Leo mwaka 9 naishi na nilijenga nƴumɓa nƴingine nikachukua wanangu naishi sikuona haja ƴa kuidhulumu nafsi kuishi.Wanaume tujitahdi kuɓadili mɓinu siƴo za kujiua hivi.
Aah weupe wako siyo mkali kama ule ninaouchukia..Mimi mwenyewe ni mweupe ila "Simple white" Ule weupe uliokolea ndo siutaki halafu nilishawahi kuandika humu kuwa wanawake wafupi mimi sijawahi kuwapenda..Mwanamke anakufikia chini ya bega sasa wapi na wapi? Yani ukute wewe ni mweupe halafu ni mfupi hata kama una neema za sheikh Kipoozeo kwangu ng'oooo sasa huyo ana sifa hizo! Mimi ni mrefu tena above the wastani sasa mwanamke mfupi nakuwa namiangalia kwa chini! Sipendi.Kama haumpendi humpendi muache tu.Yaani ukate mawasiliano nae.Mimi pia ni mweupe ningepropose,hahahahahah.
Hao watoto unawapataje,utawaleaje,utawafunza nini?!!!!Daahh mdau
Yaani ninyi viumbe siwaamin milele mwanzo wa ulimwengu tuu mlidanganyika
Hakika sintooa cha msingi ni watoto tuu ninyi kupiga tuu
Sasa naona hapa mke ndo kisababishi cha matatizo!hakuwa na wakumsaidia matatizo yake ila angekimbilia nyumba za ibada huko huenda angepata tumaini kulikon kujiua!poor himKinachowamaliza ni kuweka vitu ndani hivyo vinakuwa vinawamaliza taratiiibu. Ukute kazini stress, familia nayo stress, akirudi nyumbani napo stress. Hilo bomu linalojipika siku likilipuka ndio kama haya.
Mke ana nafasi kubwa mno ya kumsaidia mumewe.
Hivi ukiungama alafu ukajitoa roho ndio umefuta dhambi au umejiongezea dhambi?He choose the hardway,hop aliungama kabla hajatoa roho
...usicheke msibani bhana!lol,umenichekesha ujue....
Halafu umepotea. Haiwezekani mjadala hot kama forex haupo siasani siku hizi haupo..Nini tatizo?Kama haumpendi humpendi muache tu.Yaani ukate mawasiliano nae.Mimi pia ni mweupe ningepropose,hahahahahah.
Ila mimi kujiua haiwezekeni nakuambia, tena haiwezekani!! Wewe nishindwe kwenda kuoa wa Caribbean huko, eti kisa mwanamke wa kibongo haiwezekani. RIP
Sasa si uchague warefu jamani,mimi ni mweupe peee ila sio mfupi.Again mwambie ukweli dada wa watu.Mapenzi yanauma jamani.Aah weupe wako siyo mkali kama ule ninaouchukia..Mimi mwenyewe ni mweupe ila "Simple white" Ule weupe uliokolea ndo siutaki halafu nilishawahi kuandika humu kuwa wanawake wafupi mimi sijawahi kuwapenda..Mwanamke anakufikia chini ya bega sasa wapi na wapi? Yani ukute wewe ni mweupe halafu ni mfupi hata kama una neema za sheikh Kipoozeo kwangu ng'oooo sasa huyo ana sifa hizo! Mimi ni mrefu tena above the wastani sasa mwanamke mfupi nakuwa namiangalia kwa chini! Sipendi.
Wanaume huwa kukimbilia nyumba za ibada wanaona kama kujishusha vile wakati ndivyo inavyopaswa kuwa, tooo much ego. Yaani wanaona kama hayo ni mambo ya wanawake tu na wanawakwe ndio wanapaswa kuziombea ndoa zao.Sasa naona hapa mke ndo kisababishi cha matatizo!hakuwa na wakumsaidia matatizo yake ila angekimbilia nyumba za ibada huko huenda angepata tumaini kulikon kujiua!poor him
Alikuwa mwingi wa aibu(SHY) na lone ranger ,yeye alikuwa habebi laptop bali alikuwa anatumia flash na mara nyingi alitumia laptop ya mtu mwingine(wateja wke) kusoma emails zake,kama anakutengenezea laptop ndio anatumia kusoma email ni kama mtu mwenye mawazo mengihuyu dogo namfahamu na nimekutana naye maeneo mengi sana, alikuwa mpole hadi unaweza kumuogopa, na binafsi kabla sijamfahamu nilikuwa najua atakuwa TISS kwasababu maeneo mengi naenda kufanya shughuli ya muhimu sana namkuta yupo, peke yake, mkimyaaa, haongei na mtu yuko kivyake tu, sijawahi kumuona anacheka..mimi namfahamu lakini yeye nafikri alikuwa ananijua kwa sura tu ila hanijui wakati mimi namfahamu mno na nimemfuatilia mno kwenye mitandao kumjua ni nani na anafanya kazi gani. watu wakimya ni wa kuwasaidia sana aisee.
kwanza moyo unajikuta unaungua kila siku roho inakuwa nyeusi mie nasemaga bora to speak it out !nashangaa wengi sana wanaponda ohh tunasema ya ndoani !mie nitasema siku na wakati wowote ule nikiamua !inasaidia mno mno !