TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Kuna taarifa kuwa Yona Fares Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018 baada ya kunywa sumu.

View attachment 674668

Uamuzi wa kunywa sumu ulitokana na ugomvi baina yake na mke wake nyumbani kwao Mbeya.

Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.

Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu

Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro

Huu ndio ujumbe aliouacha marehemeu nyuma ya kifo chake

Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa kwa miaka 4, kila wiki nikipambana na mke mlevi na mzinzi.

Tukio la jana usiku na leo asubuhi limenisononesha na kunitia simanzi kubwa. Nimekata tamaa ya kila kitu na kila jambo nangoja mapenzi ya Mungu tu. Nalazimika kutumia dawa za usingizi lakini wapi.

Sasa nipumzike nimwache mke wangu Eng Mloelya na mchepuko wake Eng Lossy wa Idara ya Maji Mbeya waendelee!
Aisee!!! Hapana uamuzi huo sio mzuri ila kwa vile imetokea basi tukubali matokeo
 
Namuonyesha kabisa kuwa simpendi maana niliwahi ku sex naye mara moja tu.. Ni mwanamke mzuri ila kusema kweli mwanamke mweupe simpendiiii maana dada zangu ni weupe so nahisi kama tu nipo na dada yangu. Namuonyesha kuwa simpendi na anajua kabisa na aliwahi kuniambia kuwa ataniendea sijui kunisomea ibada. Muda mwingine ananiambia kabisa ni bora nisikuone duniani ili nijue kuwa haupo.

Juzi hapa kaniambia anapeleka sadaka ya mshahara wake wote wa mwezi kwa mchungaji kwa ajili yangu ila hakuniambia anaenda kunifanyia nini! Tatizo ni huko kwenye mitandao nikisoma anavyo post hadi naingiwa woga. Najuta kwanini nilimu approach nilipokuwa mbali na mpenzi wangu wa kweli ambaye anarejea karibuni! Najuta sana sana.
Be a man, mwambie ukweli na umuache. Kwani kawa mweupe baada ya kuwa nae? Huo weupe hukuuona kabla!! We sema umemchoka binti wa watu na sasa unamtafutia sababu. Wanaume wengine bwana!!!
 
Mnatutesa sana nyie wanawake. Inafika kipindi mpaka tunalia kwa ajili yenu. Mm mwenyew naandika lkn nina mzigo mzito sana kwenye moyo wangu. Usione wanawaume tupo barabaran lkn......... Mungu ndiye anajua

ni bora ukatafuta rafiki au mtu unayemwamini ukamweleza !kamwe usikae na mizfgo moyoni jaman !inaumiza mno unajihis mpweke na hufai duniani !ONGEA
 
Wanaume huwa kukimbilia nyumba za ibada wanaona kama kujishusha vile wakati ndivyo inavyopaswa kuwa, tooo much ego. Yaani wanaona kama hayo ni mambo ya wanawake tu na wanawakwe ndio wanapaswa kuziombea ndoa zao.

Ndio maana wanawake wanaendelea kuishi, maana huko nyumba za ibada kama sio magonjwa au shida zingine kumpeleka basi wengi ni kuziombea ndoa zao baada ya waume kuwa vitu vya ajabu. Hii iasaidia sana.
Exactly wanawake wengi wamepata relief ya matatizo yao simply wamejiweka karibu na Mungu..ila hawa wababa wanapigika sana kwa kujikweza kwao.Siku wakigundua kumtegemea Mungu ndoa nyingi zitapona.Na sidhan kama kutakua na vifo kama hivi.
 
Halafu umepotea. Haiwezekani mjadala hot kama forex haupo siasani siku hizi haupo..Nini tatizo?
Nipo busy acha kabisa,yaani week end ikifika ni choka mbaya,at least leo nimepata nafasi ya kuandika.Huo mjadala hata sijausoma kabisa.Nitausoma baadae.
 
Jamani wacha nionekane mjinga kwa kuoa darasa la saba mwenzangu jamani hawa wanawake waliosoma wenye elimu zao nawaogopa sana kuwatumia katika jambo kubwa sana kama ndoa
 
Kweli my dear, miye nimewapanga marafiki zangu kwa grade, yaani nikidata na ishu zangu nikienda kwa huyu ntacheka mwanzo mwisho, mwingine tutapanga mipango ya Maendeleo, wengine wa kujirusha. Wengine bla bla tuuu.Wengine ukianza tuuu kuwapigia tuuu anaanza na tusi basi tuu Nina kila dizaini.
Kuna wakati yanajaa haswa si unajua, usiposema utashangaa moyo unapasuka moyo. Siyo kila Siku maji yanatulia ipo siku yanatingishika haswa.


UPO kama mbiti hapa !yeah sio kila rafiki unamwambia kero zake wengine vivuruge hatar ! nami nina marafiki wa kila desgn ! hao ndo wanatuboost tuhesabu miaka kwakweli ! nawaheshimu na kuwapenda
 
haya ndo madhara ya kuwa na mke mmoja mpaka kufa...sidhani kama angekuwa na options nyengine kama ilivyo kwa muslims angeweza kufikia hatua hii...maana maamuzi sahihi yangekuwa ama kumtwanga talaka huyo malaya au kumuongezea mke mwenza,hapo ndipo akili ingemkaa sawa.

btw...pole kwa marehemu ila zaidi kwa wana ndugu!
Kuna jirani yangu alikiwa na michepuko lkn mke alimkoroga hadi nae akajiua. Haya mambo hayana formula, kama huwezi kudeal nayo ni huwezi tu.
 
Ugonjwa wa kupenda ni mbaya sana. Mimi kuna mwanamke mmoja kutokana na ugonjwa wa kupenda amechukua fedha zake akawekeza kwangu millions na mimi kusema kweli kila nikijitahidi nimpende nashindwa yan sometime namuomba Mungu anishushie upendo nimpende tu lakini daah namuachia Mungu.

Sasa huko kwenye mitandao naye kawa kama chizi hadi sometime namuita home kumtuliza ila sijui nitafanyeje kumpenda jamani jamani! Kuna muda natamani hata aniendee kwa mganga basi nimpende tu! Mwanamke ana elimu nzuri ya masters. Umbo zuri nilimkuta bado hajatumika ila upendo kweli nasema kutoka moyoni haupo haupo haupo. Ee Mungu nisamehe tu kwa dhambi hii ila sitaki nimuweke kwangu kisha nianze kufanya mambo ya ajabu maana simpendi na nimeshindwa hata kudanganya upendo.

Hata huyu jamaa aliyejiua naona mwanamke hakumpenda ila alilazimisha tu. Aisee usiombee uwe na moyo huo!
Vipi huyo mtoto ni mkali?
 
ni bora ukatafuta rafiki au mtu unayemwamini ukamweleza !kamwe usikae na mizfgo moyoni jaman !inaumiza mno unajihis mpweke na hufai duniani !ONGEA
Nashukuru kwa ushauri. Nitalifanyia kazi ila bado sijamwambia mtu yyte bado. Naungulia maumivu kimya kimya. Nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Kujiua kabisa daaaah!!!![emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
eti jaman ! kuna DK aliwah semaga mwanamume akitulizwa HUTULIA !ila mwanamke hatulizwi had atulie mwenyew !huo msemo huwa una ukweli sana san !huwez mtuliza mwanamke aliyejichokea ! ila mwanaume anaweza tulizwa
 
Exactly wanawake wengi wamepata relief ya matatizo yao simply wamejiweka karibu na Mungu..ila hawa wababa wanapigika sana kwa kujikweza kwao.Siku wakigundua kumtegemea Mungu ndoa nyingi zitapona.Na sidhan kama kutakua na vifo kama hivi.
Kweli kabisa mama. Ndoa nyingi mno zitapona.
Ila bahati mbaya naona kama wanawake wamevumilia weeeeh sasa hivi wameamua nao kula sahani moja, yaani ni zamu ya wanaume kuziombea ndoa teh!!
 
Jamani wacha nionekane mjinga kwa kuoa darasa la saba mwenzangu jamani hawa wanawake waliosoma wenye elimu zao nawaogopa sana kuwatumia katika jambo kubwa sana kama ndoa
Wewe omba tu upate mke mwema mkuu,jirani yangu alojiua mkewe ni darasa la saba B kabisa.
 
Mnatutesa sana nyie wanawake. Inafika kipindi mpaka tunalia kwa ajili yenu. Mm mwenyew naandika lkn nina mzigo mzito sana kwenye moyo wangu. Usione wanawaume tupo barabaran lkn......... Mungu ndiye anajua
Hata wanawake wanamizigo!l
Mme anadeti na house girl live!
Anakutukana mbele yake!
Anakwambia kama kuondoka ondoka wewe huyu haondoki!

Au anachiti na mdogo wako!
Au Rafiki yako kipenzi!
Mwingine hadi picha ya michepuko anakuonyesha ilivyo bomba ili utilize mzuka maani huenei,hufikii
Yaaani tunavumilia mengiiii

Sote tuache uzinzi!
 
Nashukuru kwa ushauri. Nitalifanyia kazi ila bado sijamwambia mtu yyte bado. Naungulia maumivu kimya kimya. Nitaufanyia kazi ushauri wako

hakuna janga geni kwenye ndoa ni yale yale yanazungukaga ! ulevi,uchawi,uzinzi,nk ! so usidhan ukitafuta mtu ukamweleza ataona kitu kigein namna hyo !inamaana huna rafiki wa kushea naye ?? aisee inabid ujitafakari pia !utakufa siku si zako ! pole !bado tunakupenda aisee !
 
Asante. Ila nina maumivu sana kwenye moyo wangu. Haya mambo yasikie tu. Bado napambana na hali yangu. Naomba uwe mke mwema kwa mumeo maana mke akikuvuruga ni rahisi sana kuharibu mambo mengine.
Mkuu umechapiwa nini?
 
Back
Top Bottom