TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Jamani Yona Maro mbona umejiua wakati tuko sie akina Loeli uaminifu tunao? Ungekuja hapa JF utafute serious partner. Alaaniwe mwanamke mzinzi ndani ya ndoa na mwanaume ANAYEKUPENDA. Nimeumia mno.
Ww ungempa penzi murua?!

Yona nilikuwa namfahamu vzr sn hakuwa mtu wa wanawake i cn understand kwann hata huyo mke kampelekesha namna hiyo jamaa alikuwa mtu muoga muoga hivi
 
Haya mambo hasikie tu. Binafsi nimeyakataa muda mrefu sana,mwanamke kuniendesha au kunipanda kichwani. Mwanamke kama umempenda na ukampeleka kanisani au msikitini then akaanza kuzingua kwa namna yoyote ile,mrekebishe kwa upendo mkuu ila kama habadiliki piga chini.

Haina haya yakuwaumiza watu wakupendao toka asili yako-baba na mama yako na wadogo zako kisa lipumbavu limoja ulilokutana nalo ukubwani tu.

Binafsi najua situations kama hizi kwakuwa nilishaoa ila pale mke alipojihisi anaweza kunikunja,kunifokea fokea,kununa,kunijibu madharau-nilisharudisha kwao huko migombani.

Nalea wanangu mwenyewe,naishi kwa amani. Watoto wangu ni faraja kwakweli.

R.I.P brother,mwanamke sio baba yako.
haahaha hongera sana ! hv mwanamke kumpanda kichwan mwanamume huwa mnamaanisha nn? yaan mie huwa nafikiria kuwa wazo la baba akilisema ndo bora !i mean hamtaki tuwape challenges zozote zile !hampendwi kupewa changamoto au ni nn??? nakutana sana na hayo maneno !hv huwa mnamaanisha nn mwanamke kukupanda kichwan!nataman nijue
 
Kuna tatizo hapa jamii yetu inamfanya mwanaume avumilie kila aina ya abuse... Kuna kipindi MTU anakuwa anahitaji msaada ila anaonekana kama mzembe fulani kisa mwanaume.
Kweli kabisa. Inasikitisha sana.
 
watu wapole, wastaarabu huwa ndo vifo vyao, wanahisi wamedharaulika sana na aibu kwa jamii ivyo kifo ndo huwa ni suluhisho. wapuuzi sana

kuna mzee alijiua et kisa mtoto wake mkubwa kashikwa ugoni nae kama yohana mpole, mwelewa sana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Dah hvi mke akichepuka si na wewe uchepuke tu,all in all may his sour rest in heavenly peace
 
hahahaa watu wa pwani ni kwel weng wamechana!haya mambo bwana
Kuna group nilikuwa la wanandoa nilikuwa nacheka jamani. Kuna mama yeye ndio kungwi sasa, full kufunda wenzie. Mie nilijua ana ndoa bwana nikawa namuona boonge la wife nikajisemea nikikua nitakua kama yeye[emoji85] [emoji85] Siku ya siku anazungumzia kuwa alishaachika mara mbili, sababu sasa oooh mwanaume alikuwa muhuni na bla bla zingine. Nikawaza si ndio huwa anasema hata mume awe muhuni vipi kumtuliza fanya 1,2,3..... kumbe yeye yalimshinda!!!

Haya mambo bwana mie nasemaga kama biko tu. Yaani uokote embe lako chini ya mnazi baasi, mengine porojo tu.
 
Haya mambo hasikie tu. Binafsi nimeyakataa muda mrefu sana,mwanamke kuniendesha au kunipanda kichwani. Mwanamke kama umempenda na ukampeleka kanisani au msikitini then akaanza kuzingua kwa namna yoyote ile,mrekebishe kwa upendo mkuu ila kama habadiliki piga chini.

Haina haya yakuwaumiza watu wakupendao toka asili yako-baba na mama yako na wadogo zako kisa lipumbavu limoja ulilokutana nalo ukubwani tu.

Binafsi najua situations kama hizi kwakuwa nilishaoa ila pale mke alipojihisi anaweza kunikunja,kunifokea fokea,kununa,kunijibu madharau-nilisharudisha kwao huko migombani.

Nalea wanangu mwenyewe,naishi kwa amani. Watoto wangu ni faraja kwakweli.

R.I.P brother,mwanamke sio baba yako.
Kuna ndoa imefungwa mwaka jana mwezi wa 11 sasa hivi ndoa chaliiii. Yaani hizi ndoa zetu za siku hizi Mungu aingilie kati.
 
Kuna group nilikuwa la wanandoa nilikuwa nacheka jamani. Kuna mama yeye ndio kungwi sasa, full kufunda wenzie. Mie nilijua ana ndoa bwana nikawa namuona boonge la wife nikajisemea nikikua nitakua kama yeye[emoji85] [emoji85] Siku ya siku anazungumzia kuwa alishaachika mara mbili, sababu sasa oooh mwanaume alikuwa muhuni na bla bla zingine. Nikawaza si ndio huwa anasema hata mume awe muhuni vipi kumtuliza fanya 1,2,3..... kumbe yeye yalimshinda!!!

Haya mambo bwana mie nasemaga kama biko tu. Yaani uokote embe lako chini ya mnazi baasi, mengine porojo tu.


hahahaa makungwi wengi san wameachika !ila ukimsikiliza sasa unajihis wewe unamkosea sana mumeo lol
 
Nipo busy acha kabisa,yaani week end ikifika ninachoka mbaya,at least leo nimepata nafasi ya kuandika.Huo mjadala hata sijausoma kabisa.Nitausoma baadae.
Uingie kwenye thread ya majaribu 2013 uone watu walivyomwaga upupu. Mwenzio Nifah utaona picha zake live watu wametupia. Ila uzi wenyewe umepigwa kalamu hivyo hutaruhusiwa ku comment. Wewe ingia kwenye profile ya huyo jamaa usome thread yake ya jana akimjibu ONTARIO
 
jaman Lossy umesababisha kifo


Kuna taarifa kuwa Yona Fares Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018 baada ya kunywa sumu.

View attachment 674668

Uamuzi wa kunywa sumu ulitokana na ugomvi baina yake na mke wake nyumbani kwao Mbeya.

Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.

Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu

Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro

Huu ndio ujumbe aliouacha marehemeu nyuma ya kifo chake

Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa kwa miaka 4, kila wiki nikipambana na mke mlevi na mzinzi.

Tukio la jana usiku na leo asubuhi limenisononesha na kunitia simanzi kubwa. Nimekata tamaa ya kila kitu na kila jambo nangoja mapenzi ya Mungu tu. Nalazimika kutumia dawa za usingizi lakini wapi.

Sasa nipumzike nimwache mke wangu Eng Mloelya na mchepuko wake Eng Lossy wa Idara ya Maji Mbeya waendelee!
 
Back
Top Bottom