Doris Liundi alikumbwa na kisa kama hiki.
Alijaribu kujiua na watoto wote.
Ila alisalimika huku baadhi ya watoto wakasalimika.
Kesi ilienda High Court na Court of Appeal.
Daktari alithibitisha kuwa Doris alipata ugonjwa wa akili kwa hiyo alipojaribu kujiua na watoto, haikuwa akili timamu.
Ila majaji, kulingana na ushahidi na sheria, akajiuliza kama sawa alikuwa karukwa na akili, iweje alikataza watoto wasipewe maziwa, na pia kwanini akajifungia ndani na watoto; kama hakua na nia ya kuua, na hivyo alikuwa timamu?
Majaji waliandika ile hukumu kwa masikitiko sana na ninakumbuka Jaji wa High Court alisema ni kweli, mshtakiwa alirukwa na akili, lakini ushahidi wa daktari hauwezi kumfunga jaji katika hukumu.
Wasomi wa sheria watanielewa vizuri hapa.
Doris alipatikana na hatia. So sad!