Mkuu punguza hasira hembu tuambie mazingira yalikuaje,watu wakisemaje huko msibaniMkewe alikuwa mkavuuuuu msibani utadhani yupo kwenye smart area...pambaff zake kwa niaba ya wanawake wengine wenye tabia kama zake!
Dada yangu ngoja nikuambieHapa wanaume wanavolaumu wanawake sasa utadhani wao ni malaika teh funny!!!
[emoji115] [emoji115]Tunajadiki issue serious watu wanaleta ujinga
Tusiwe wajinga na kuondolewa kwenye reli ...sisi wasomi na wengine ni WABOBEZI ....nimeweka mkeka huo TAZAMENI NA HIYO ANGLE TUSIFANYWE MADODOKI
CC
Max
Robbot
Fiddiga
Mtanzania
Mwananchi
La sivyo atakayefuatia tutaambiwa...ana ugomvi na mchepuko au wanagombea
EMERGING CONSPIRACY OF PODSOBLE ASSASSINATION <br /><br />Ijulikane kuwa Maro alikuwa Graduate wa IT toka Harvard <br /><br />Ijulikane kuwa Maro kama mwana harakati amehusika actively na mitandao maarufu kama mmiliki,mwenza,mwazilishi,mshiriki <br />Ie Bidii,ulinzi na usalama ,jamii forum etc <br /><br />Ijulikane kuwa wakati mauti yanamkuta alikuwa ametoka kwenye kizuizi cha siku 60 kwa makosa...yanayohusiana na mtandao <br /><br />Ijulikane kwa sasa kuna mamia ya vijana hawapo mtaani kwa makosa ya namna hiyo ikihisiwa wanatoa siri za serikali ,jeshi,tiss etc maro alikua kundi...hilo <br /><br />Ijulikane kuwa Maro amewahi kupigwa huku nyuma na...watu wasiojulikana kama...onyo kwa ushiriki wake na aina ya mijadala na taarifa anazotoa <br /><br />Maro ni kati ya vijana wachache watanzania waliokuwa na uwezo mkubwa wa.kuingilia mitandao<br /><br />Conclusion <br />Wakati dunia nzima inamlaumu Maro kwa kujiuwa ,nani amechunguza masaaa 48 baada ya na kabla hajaingia kwenye hiyo guest <br />Aliongozana na nani guest <br /><br />Nani alimtembelea guest <br /><br />Alijiuwa na sumu aina gani ...<br /><br />Mawasiliano yake ya mwisho kwa simu yakoje <br /><br />Kama alikua na ugomvi na mkewe kwanini aweke namba yake ataarifiwe wakati ana ndugu wengine kama Dada ,kaka etx ...<br />Mwandiko uluotumika ni wake ? Je ameuandika katika hali ya kawaida au shinikizo ( wataalamu wa miandiko wananielewa) <br /><br />Walipovunja mlango ufunguo waliukuta wapi ? Kwenye tundu ? Sakafuni au chini ? Au haukuwapo kabisa ? <br /><br />WAMEANDIKA amekuwa na ugomvi na mkewe four years .....iweje kurudi usiku wa manane mkewe kumfanye ajiuwe leo kama kavumilia miaka minne <br />Mtu aliyekua kizuizini na huko hakuwa anajua mienendo ya mkewe iweje hilo limshtue zaidi...<br /><br />Mazingira yakoje kwenye tukio ? Palikuwa na purukushani ?'je alikufa katika hali gani ...misuli yake ionekana je ,macho yake je ...palikuwa na nini kingine ...<br />Forensic experts waliitwa kabla ya kuchukua kitu chochote <br />Kuna picha mnato na video ??<br /><br />Mwisho napata hitimisho kuwa kutokana na mazingira na ushiriki wake katika yanayoendelea na.kuwa...alitoka kizuizini TUSIWE MISLED KUMLAUMU MKEWE NA MCHEPUKO HADI TUPATE MAJIBU YA HAYA MASWALI <br /><br />MARA NYINGI KWENYE ASSASSINATION HUWA WAANAANGALIA POSSIBLE EXIT ANGLES IKIWEMO WATU WA KUWATUPIA LAWAMA BAADA YA MAUWAJI ..
Milele amina.
Bwana kamtoa roho kwa sumu.
Sijui kwanini duniani kuna vitu vigumu kiasi hiki... Eeeh Mungu baba wa rehema kampe pumziko la haki marehemu..
Nazidi kuziombea ndoa na mahusiano mengine yanayopitia katika nyakati ngumu za ugomvi na mafarakano... Baba wa rehema katende sawa sawa na mapenzi yako... *Kahukumu* *kwa* *haki* *wale* *wote* *wanaotibua* *ndoa* na *mahusiano* ya *wengine*
Tunatambua ulisema NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE... basi na iwe hivyo... Aaamen [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Wallet imebeba ushindi wa jumla 😀😀😀😀Na sisikii udhaifu wenu tumeubeba kwenye boxer na wallet!!!
Drived ndio lugha ya wapi?Huyu engineer Najua alikuwa Dawasco then netwas then kusoma uholanzi, then project Mbeya then ajira mamlaka! Jee huyu maro eneo lake la kazi, Namaanisha address ilikuwa wapi!? Dar es salaam au Mbeya!? Kama huyu ndugu huyo mke wake ndio alimfanya kuhamia Mbeya that was the biggest mistake he had done in first place !! Hata Siku moja usikubali kuwa drived na mwana mke, utakuja kujuta! Count my words! Hata bibilia imetoa angalizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...nawe kila kitu lazima uchungulie?Drived ndio lugha ya wapi?
Niko deep kwenye uzii[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...nawe kila kitu lazima uchungulie?
Ww jamaa ukifa uitwe je?R.I.P mhenga
hakuna janga geni kwenye ndoa ni yale yale yanazungukaga ! ulevi,uchawi,uzinzi,nk ! so usidhan ukitafuta mtu ukamweleza ataona kitu kigein namna hyo !inamaana huna rafiki wa kushea naye ?? aisee inabid ujitafakari pia !utakufa siku si zako ! pole !bado tunakupenda aisee !
Ww ungempa penzi murua?!
Yona nilikuwa namfahamu vzr sn hakuwa mtu wa wanawake i cn understand kwann hata huyo mke kampelekesha namna hiyo jamaa alikuwa mtu muoga muoga hivi
huyo yona ni nyoko tu acha yamkute yaliyomkuta, alizaa na shoga yangu kipenzi, na wakawa wanaishi pamoja kama mke na mme, baadae akautana na huyu eng. mapenzi yakaanza na wakafunga ndoa kisisrisiri ya bomani, wakati huyu dada anataka kwenda masomoni nje(kusoma master). sasa dada livyorudi hamtaki tena yona ila ndo hivyo kishafunga nae ndoa, drama nyingi zimeendelea mpaka ameamua kujirestisha in peace. Mbona shoga yangu hakujiua alivyomcheat hadi kufunga ndoa kimya kimya
Huyo ndio mkewe?
Bright people don't kill themselves bhana tusidanganyane. Huyu jamaa hakuwa bright wala nini, alikuwa "mpumbavu" tu ndiyo maana amejiua sababu ya mwanamke.Dah...
Yona amenisikitisha sana to be true. Nimetoka naye mbali sana. Tangu 2002 tulipokua tunaanza kuhangaika na utundu wa mitandaoni. Na mambo mengine mengi ambayo siwezi kuyasema lakini kwa ufupi alikua ni kijana very bright na aliyeipenda nchi yake kwa moyo wote.
Naombeni Namba yakenimtafuneyes mkewe huyo anaitwa mloelya
Kuombewa ni kujifariji tu.Hivi mtu Aliejiuwa huwa anaombewa or kuambiwa Rest in Peace....!!???
Siyo mimi. Kamwe mimi siwezi kutoa uhai wangu sababu ya mwanamke.ndio mjue mwanaume hata awe vipi kwa mwanamke ni dhaifu,RIP Yona