TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

[emoji115] [emoji115]
 

Mhh sio kwa ombi hili
 
Drived ndio lugha ya wapi?
 

ongezea na uchoyo, yaani mimi MR , tarehe tano tu mwanzo wa mwezi kabisa hana hata mia,

mshahara wote akipata anagawanya kwa ndugu zake hata yeye mwenyewe anajisahau atakula nini, hapa nyumbani kama usiponunua chakula hamli nakwambia,basi nilifanya kama naishi mwenyewe tu, mipango ya maendeleo na bajeti nzima ya nyumbani napanga kwenye mshahara wangu, na toka nimeamua kufanya hivyo aah moyo wangu umetulia na mbambo yaenda vizuri tu
 
Ww ungempa penzi murua?!

Yona nilikuwa namfahamu vzr sn hakuwa mtu wa wanawake i cn understand kwann hata huyo mke kampelekesha namna hiyo jamaa alikuwa mtu muoga muoga hivi

huyo yona ni nyoko tu acha yamkute yaliyomkuta, alizaa na shoga yangu kipenzi, na wakawa wanaishi pamoja kama mke na mme, baadae akautana na huyu eng. mapenzi yakaanza na wakafunga ndoa kisisrisiri ya bomani, wakati huyu dada anataka kwenda masomoni nje(kusoma master). sasa dada livyorudi hamtaki tena yona ila ndo hivyo kishafunga nae ndoa, drama nyingi zimeendelea mpaka ameamua kujirestisha in peace. Mbona shoga yangu hakujiua alivyomcheat hadi kufunga ndoa kimya kimya
 

Una hasira
 
Huyu si ndiye yule alijiua eti sababu mkewe analiwa uroda na mtu mwingine?? Nimesoma habari zake kwenye gazeti la Mwananchi, kuwa kabla ya kujiua aliandika ujumbe mzito.

Kama sikosei ndiye yeye. Anyway, ameshakufa lakini mtu unawezaje kujiua sababu ya mwanamke?

Huyu kijana kama ni kweli alijua sababu ya mwanamke, amekosea sana. Ni ujinga sana na upuuzi kutoa uhai wako sababu ya mwanamke. Dunia hii imejaa wanawake na wengine wanatafuta waume wa kuwaoa kila siku hawapati, halafu wewe unajiua sababu mkeo analiwa na mtu mwingine!

Upumbavu kama huo mimi siwezi fanya kamwe kwenye maisha yangu. Kwenye jamii yetu, mtu akijiua huwa haitakiwi azikwe kwa heshima, tena huwa inatakiwa maiti yake itandikwe viboko kwanza kabla ya kufukiwa.
 
Bright people don't kill themselves bhana tusidanganyane. Huyu jamaa hakuwa bright wala nini, alikuwa "mpumbavu" tu ndiyo maana amejiua sababu ya mwanamke.

Acheni kusifia ujinga, kama mtu amefanya upuuzi hata kama amekufa inapaswa kusema ukweli tu bila kuogopa. Mtu mwenye akili zake hawezi kutoa uhai wake sababu ya Mwanamke na kuacha familia ikiteseka.

Watu kama hawa hawastahili kusifiwa na jamii hata kidigo.
 
Hivi mtu Aliejiuwa huwa anaombewa or kuambiwa Rest in Peace....!!???
Kuombewa ni kujifariji tu.

Ukimuombea au usipomuombea, mtu yeyote aliyefariki hana cognitive functions na kwa hiyo by default yuko in peace.
 
ndio mjue mwanaume hata awe vipi kwa mwanamke ni dhaifu,RIP Yona
Siyo mimi. Kamwe mimi siwezi kutoa uhai wangu sababu ya mwanamke.

Mimi ni kichwa bhana. Biblia inasema mimi ni KICHWA. Ukisimama kama KICHWA katika ndoa yako huwezi kuwa na maamuzi DHAIFU kama ya huyo jamaa aliyejiua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…