Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Huyo mke kama kweli alikuwa anayafanya haya basi mwisho wake sio mzur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati huwa tunaisha mkuu.Hao ni viazi mbatata wanaojitia kamba...so many women in za world...so why this
Wanawake hawajawahi kuisha Dunia hii ni mtazamo tu wa mtuKuna wakati huwa tunaisha mkuu.
Ohooooo!!!Nimesikitika sana, hawa wanandoa nawajua hata kabla hawana watoto. Tatizo mwanamke yupo njema na jamaa alikuwa choka ila alikuwa kijana mpole na mtulivu. Baba wa mwanamke alikataa wasifunge ndoa coz jamaa kiuchumi sio bomba na ni kweli huyu muuni sana na chapombe kama Baba yake na kwao ni nyuma ya shule ya mapambano sinza
Mungu wetu sote.Huyo mke kama kweli alikuwa anayafanya haya basi mwisho wake sio mzur
Good idea hahaaaaa nimeipenda akili mukichwaHawa ndio wanaume wanaharakati [emoji3][emoji3]nacheka kama mazuri. Yaani unajiua kisa mkeo kachepuka?
Sasa si kaacha watoto wake wapweke
Alishindwa nini kuchepuka au kuachana nae kabisa??
Au alikua analelewa??
Wanaume kila siku wanachepuka wanafumwa wamama wanapambana dume zima linajiua??
Mungu amuweke anapostahiri kamanda Yona.
Angeenda mbali kuishi,bila mawasiliano,na mkewe,na angewashirikisha watu,nn cha kufanya..So sad, angeondoka hapo nyumbani akayatafakari kwingine hata kwao. R.I.P awaee.
Hadi mjiue unafikiri inakuwaje!!Wanawake hawajawahi kuisha Dunia hii ni mtazamo tu wa mtu
Kwani hiyo ya mke wake ilikuwa na brotooth ya kiyoyozi hahaaaaaaaaa hajui kama hiyo kitu ni Renewable resoucesHadi mjiue unafikiri inakuwaje!!
Jamaa inasemekana mwanamke alimtolea mahali ila alikuwa anachukuliwa na madingi, ni kama aliolewa ila kama alifunga ndoa labda walipoamia Mbeya. Huku ukumbi ulilipwa gaza sinza na shughuli haikufanyika.Ohooooo!!!
Nishawahi sema humu, mwanaume anajisikia superior anapokuwa anamzidi mwanamke allmost everything(pesa,umri,cheo nk).
Mwanamke anapokuwa juu tayari inamjengea shida fulani, anakuwa paranoid wakati mwingine kwa hisia zake tu.
Jf na facebook kuja kushtuka watu wanapakua tu mzigoMuda wote alikuwa anaperuzi JF.
Kumbe wenzake wanamsaidia
Na huyo kijana anaonyesha anapoteza muda mwingi katika kuiponda serikali wakati ni mario kutokana na comment yake! Mwisho wake ndiyo huuSure.
Unalelewa halafu ulete ujeuri si nakuacha tu unapotaka ukae naendelea kufanya yangu??Huyu engineer Najua alikuwa Dawasco then netwas then kusoma uholanzi, then project Mbeya then ajira mamlaka! Jee huyu maro eneo lake la kazi, Namaanisha address ilikuwa wapi!? Dar es salaam au Mbeya!? Kama huyu ndugu huyo mke wake ndio alimfanya kuhamia Mbeya that was the biggest mistake he had done in first place !! Hata Siku moja usikubali kuwa drived na mwana mke, utakuja kujuta! Count my words! Hata bibilia imetoa angalizo
Nge, nge tunaisema tu sasa hivi ila hatujui aliyoyafanya kumrekebisha mkewe.Saikolojia ya mwanaume kwa mke sio kitu cha kuchezea au kukisemea sana hasa kama mwanamke hamtii mumewe kwa kufanya ngono waziwazi nje ya ndoa.Hii ikitokea mwanaume hulipuka na kufanya makubwa yasiyofikirika. Huyu marehemu yaelekea alikuwa mtu mpole na mkimya, asiyetaka ugomvi na vurumai.Mwanaume wa kawaida angemkwida mkewe na kusokota shingo yake au kuikatakata.Lakini huyu bwana Maro akaona kwa nini kumfanyia mkewe mabaya? Akaamua atokomee kwenye ulimwengu huu awaache mainjinia waendelee kukarabatiana injini zao.So sad, angeondoka hapo nyumbani akayatafakari kwingine hata kwao. R.I.P awaee.