TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

R.I.P

kilicho muua Yona,huenda ni depression...ila TUNASHAURIWA KUMSHIRIKISHA M2 /WATU KPND unaptia wkt mgumu mpk unahis hutavuka,Maana hutakosa MTU m1 out of 7billion people worldwide,50million Tanzanians,or 1 to 8millions Tanzanians regional wise,WAkukusaidia MALI au HALI..

Na kipnd unazd kuwashrksha watu,ndvyo unavyozd kupata nguvu ya kusonga mbele na kuona matatizo yako ni ya kawaida ktk dunia,

N Ultimately you r going to kick out your problem with cute solution.


ASINGEJIUA HUYO,SEMA ALIKUWA ANAVUMILIA KIMNYA KIMNYA ITAKUWA..

ILA SORRY AISEEE,nakumbuka my dad always enjoys with my mom by saying

"Ask God to give you right Angel as your mom is,and you will have blue sky wings to fly with destiny"

1.kuzaliwa 2.Ndoa 3.Kufa

His story is over...r.I.p Yona again
 
Unaweza kukuta marahemu aliona msg jamaa akisifia marinda ya mkewe matamu wakat yeye hajawahi hata kuyagusa...huyo mwanamke anaonekana kala chmvi sn.


Watu hawa ambao wanakuwaga wapole huwa wanaenda kubeba magubegube mara nyingi
 
Nge, nge tunaisema tu sasa hivi ila hatujui aliyoyafanya kumrekebisha mkewe.Saikolojia ya mwanaume kwa mke sio kitu cha kuchezea au kukisemea sana hasa kama mwanamke hamtii mumewe kwa kufanya ngono waziwazi nje ya ndoa.Hii ikitokea mwanaume hulipuka na kufanya makubwa yasiyofikirika. Huyu marehemu yaelekea alikuwa mtu mpole na mkimya, asiyetaka ugomvi na vurumai.Mwanaume wa kawaida angemkwida mkewe na kusokota shingo yake au kuikatakata.Lakini huyu bwana Maro akaona kwa nini kumfanyia mkewe mabaya? Akaamua atokomee kwenye ulimwengu huu awaache mainjinia waendelee kukarabatiana injini zao.
Pumzika kwa amani bw Maro, uliyoyaacha Mungu atayaweka sawa. Poleni sana wanafamilia ya Maro.
Ninawaza tu msibani huyu mke atawaangaliaje ndugu wa marehemu?
 
Mnatutesa sana nyie wanawake. Inafika kipindi mpaka tunalia kwa ajili yenu. Mm mwenyew naandika lkn nina mzigo mzito sana kwenye moyo wangu. Usione wanawaume tupo barabaran lkn......... Mungu ndiye anajua
Mkuu mshirikishe Mungu na watu wako wa karibu.....Usije kufanya kama alivofanya ndugu yetu Yona...Wewe ni wa thamani sana
 
watu wapole, wastaarabu huwa ndo vifo vyao, wanahisi wamedharaulika sana na aibu kwa jamii ivyo kifo ndo huwa ni suluhisho. wapuuzi sana

kuna mzee alijiua et kisa mtoto wake mkubwa kashikwa ugoni nae kama yohana mpole, mwelewa sana.
Hahahaha..
Mzee katisha..
 
Apumzike kwa amani. Ila sisi wanawake jamani.
Huyo mwanaume nae ni mbinafsi unajiua unaacha watoto. Sasa akijiua ndo Eng hataacha kumla mke wake au? Wanawake tulivyo wengi si angejichagulia mmoja wake amkomeshe mke wake na yeye.
Wanawake wenyewe ndiyo nyie mkitongozwa PM mnakuja kuuliza namna ya kublock mtu, angepata wapi.??
 
Maumivu na Uchungu mda mwengine inawezekana yanatokana na kumgharamia mke kwa hali na mali kabla hajasimama kiuchumi alafu akishafanikiwa anakubadilikia.
 
Wanawake wenyewe ndiyo nyie mkitongozwa PM mnakuja kuuliza namna ya kublock mtu, angepata wapi.??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Mkuu mbona unenishushua hivyo lakini. Angepata tu tuko wengi bado.
 
Mara nyingi watu wasio na ndugu au rafiki wa kuongea naye mambo yake. ..ya siri huwa wanajiuwa kirahisi

Lakni imagine tu kuna watu sio wanekutana na hisia za wivu kama marehemu wapo ambao wamewakuta kabisa wenzi wao wanakandamzwa tena chumbani kwao....na wakajiondokea kwa amani ....huyo ukiongea naye utajiona...una afadhali
Pengine ndugu yetu alikuwa mtu wa kukaaa zake ndani suala la wanaume kwenda bar linasaidia wengi wakilewa hueleza frustration zao na kutiana moyo .siku inaisha

Pengine suala la mke...kurudi nyumbani late ni....hisia zake tu ...kama wangekua wanaongea kwa amani angekua anawahi ...sio mara zote atakua ana cheat labda.anachelewa kwa mashoga akifika alale ili tu wasigombane ...na yeye hisia zake zinakuwa kila akichelewa anatoka kwa wanaume ....
ni kwel unajua hata ukiangalia sura yake kimuonekano utagundua jamaa alikuwa mpole sana na huenda alikuwa mtu wa kuweka vitu moyoni!!R.I.P
 
Usiongee sana ndugu yangu. Nyamaza tu
Nshayaona kuna wazee flani hivi walikuwa na vipato vizuri sana miaka hiyo katika mialiko yao ya sherehe za familia mmoja wao mke akamfanyia kituko cha dharau mbele yao muda uleule mzee akajiua,akatokea mzee mwingine akansema sana marehemu kwanini ajiue sababu ya mwanamke?wiki moja baadae yuleyule aliye msema marehemu naye akajiua sababu ya mwanamke vilevile.Hii inatufundisha tukiona jambo tumwombe Mungu ayaepushe haya kwa waja wake

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
HERI YA NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI ..

ningekuwa mimi ndiye MAREHEMU NAMIMI NINGEKUWA NA CHEPUKA TU ILI TWENDE SAWA ..HATA KAMA NINGEPATA H.I.V NINGEMEZA ARV Tu

kuliko kuamua kujidhulumu nafsi yako huku ukiwaacha hao ambao waliosbabisha
ajiue wakiendelea kubanduana...


hivi wanasheria sheria inasemaje KWENYE SUALA KAMA HILI ..JE MKE ATAKUWA NA KESI YAKUJIBU ..?
maana nijuavyo hkunaga mahakama ya mapenzi
Hakimu na mahakama ni watoto alio waacha wakiwa wakubwa wakijua story itamtesa sana huyu mwanamke

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Baba yangu alinifundisha jambo moja muhimu sana, mkewe (mama yangu) aliyemtoa kijijini na kumpeleka shule mpaka akapata kazi nzuri, alipoanza tu kuleta matatizo; alijaribu kutafuta suluhisho, alipogonga mwamba, alichukua bag lake, na kuondoka. Hakutaka ugomvi na mtu, mama akaolewa tena yeye hakutaka tena kuoa lakini he was content na maisha yake.

Never say never, lakini kujiua kisa mwanamke hapana tena hapana. Labda sababu nyingine, sio mwanamke.
 
Back
Top Bottom