TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Nina mifano ya nyumba 2, moja ke aliondoka, nduguze ke wakamwambie asiondoke kwa mumewe, akarejea tena, dude likasepa na kumuachia mke nyumba na mtoto.
Mwingine ke alihama na kumuachia kila kitu. Lkn Naona wote sasa wanaenjoy life.
 
Kweli watu wapo serious na mapenzi...unajiua live' kabisa,tena kiukweli..duh

Tena mwana JF, alishindwa kuomba hata ushauri Jukwaani

'Sasa hao ma-Engineer sindio watakulana rasmi tena kwa raha zao..'

hii ni hasara kwa familia.
Pole kwa familia
 
mtoto wake alishikwa ugoni, mzee kwa kuhisi ana heshima kubwa mtaani aka ji r.i.p
 
Ukiona anazingua ɓeɓa ɓeg lako anza upƴa hata ƙama unanini pale kwako.Nilipoona nazidiwa mɓinu na x wife nilinƴanƴua mikono nikaanza upƴa.Leo mwaka 9 naishi na nilijenga nƴumɓa nƴingine nikachukua wanangu naishi sikuona haja ƴa kuidhulumu nafsi kuishi.Wanaume tujitahdi kuɓadili mɓinu siƴo za kujiua hivi.
Ht mm yalinikuta Mwaka 2009 nikamwachia mwke Kila kitu mpk Nyumba nikaenda kuanza Maisha upya mpk Leo nadunda tu tena ht kuoa tena wala sifikirii
 
Je hii inaweza kuwa moja ya sababu ya cc kuitwa shithole??
R.I.P Maro
 
Back
Top Bottom