TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

EMERGING CONSPIRACY OF PODSOBLE ASSASSINATION

Ijulikane kuwa Maro alikuwa Graduate wa IT toka Harvard

Ijulikane kuwa Maro kama mwana harakati amehusika actively na mitandao maarufu kama mmiliki,mwenza,mwazilishi,mshiriki
Ie Bidii,ulinzi na usalama ,jamii forum etc

Ijulikane kuwa wakati mauti yanamkuta alikuwa ametoka kwenye kizuizi cha siku 60 kwa makosa...yanayohusiana na mtandao

Ijulikane kwa sasa kuna mamia ya vijana hawapo mtaani kwa makosa ya namna hiyo ikihisiwa wanatoa siri za serikali ,jeshi,tiss etc maro alikua kundi...hilo

Ijulikane kuwa Maro amewahi kupigwa huku nyuma na...watu wasiojulikana kama...onyo kwa ushiriki wake na aina ya mijadala na taarifa anazotoa

Maro ni kati ya vijana wachache watanzania waliokuwa na uwezo mkubwa wa.kuingilia mitandao

Conclusion
Wakati dunia nzima inamlaumu Maro kwa kujiuwa ,nani amechunguza masaaa 48 baada ya na kabla hajaingia kwenye hiyo guest
Aliongozana na nani guest

Nani alimtembelea guest

Alijiuwa na sumu aina gani ...

Mawasiliano yake ya mwisho kwa simu yakoje

Kama alikua na ugomvi na mkewe kwanini aweke namba yake ataarifiwe wakati ana ndugu wengine kama Dada ,kaka etx ...
Mwandiko uluotumika ni wake ? Je ameuandika katika hali ya kawaida au shinikizo ( wataalamu wa miandiko wananielewa)

Walipovunja mlango ufunguo waliukuta wapi ? Kwenye tundu ? Sakafuni au chini ? Au haukuwapo kabisa ?

WAMEANDIKA amekuwa na ugomvi na mkewe four years .....iweje kurudi usiku wa manane mkewe kumfanye ajiuwe leo kama kavumilia miaka minne
Mtu aliyekua kizuizini na huko hakuwa anajua mienendo ya mkewe iweje hilo limshtue zaidi...

Mazingira yakoje kwenye tukio ? Palikuwa na purukushani ?'je alikufa katika hali gani ...misuli yake ionekana je ,macho yake je ...palikuwa na nini kingine ...
Forensic experts waliitwa kabla ya kuchukua kitu chochote
Kuna picha mnato na video ??

Mwisho napata hitimisho kuwa kutokana na mazingira na ushiriki wake katika yanayoendelea na.kuwa...alitoka kizuizini TUSIWE MISLED KUMLAUMU MKEWE NA MCHEPUKO HADI TUPATE MAJIBU YA HAYA MASWALI

MARA NYINGI KWENYE ASSASSINATION HUWA WAANAANGALIA POSSIBLE EXIT ANGLES IKIWEMO WATU WA KUWATUPIA LAWAMA BAADA YA MAUWAJI ..
Maswali fikirishi haswa, ila sema wa kuyafanyia uchunguzi hayupo, na hatotokea. Otherwise the death remained history.
 
Mahabusu tena siku 60??? Ningependa kusikia upande mwengine wa hili tukio...mpaka mwanamke mwenye familia kufikia maamuzi ya kuchepuka tena na hadi kuchelewa kurudi nyumbani tena mara kwa mara kuna namna.[/QUOTE
Alikuwa hafikishwi itakuwa.
Marehemu alipaswa asalimu amri,amwachie Eng. wa maji,yeye atafute wa vipimo vyake,na si kuiacha dunia na raha zake
 
IZI TABIA ZA KUJULIA MAPENZI UKUBWANI NI TATIZO..VIJANA SIKUHIZI WANAANGALIA TAMTHILIA SANA ZINAWADANGANYA SANA KUHUSU MAPENZI.

MNACHOTAKIWA MFAHAMU NI KUWA KWA DUNIA YA SASA MWANAMKE NI CHOMBO CHA BURUDANI TU..UKIZIDISHA YAANI KUMFANYA ZAIDI YA CHOMBO NA UKATAKA KUMTUMIA KAMA RAFIKI AU NDUGU LAZIMA UTAKUFA TU!!!!

MWANAMKE WA KI LEO NI JINI, NYOKA, NA NDIE FIMBO YA IBILISI..KUNA WANAOPATA STROKE, PRESHA NA VILEMA SABABU WALIMGEUZA MWANAMKE RAFIKI^/NDUGU.

MWANAMKE NI CHOMBO CHA STAREHE UNAKITUMIA PALE UNAPOHITAJ BURUDANI FULANI, UNAWEZA UKABADILISHA UTAKAVYO SABABU LADHA YA STAREHE UBADILIKA..UKIFATA HII KANUNU UTAISHI KWA RAHA NA UTAJIRI UTAKUWA NAO KARIBU.
Nayatafakari maneno yako kwa kina.
Kama tungefahamiana ningekuuliza mambo mengi sana.

Maana sisi tunaotarajiwa kuwa ndoani, tunahitaji nafasi ya kushauriwa sana.

Umeongea maneno mazito sana japo kwa MTU Wa upande Wa pili anaweza kuona kama unawakandamiza.

Ni ngumu sana kulitambua jambo kama hilo uliloliongea.

Yaani kama vile umenipa home work.
 
4x4 by Far
 

Attachments

  • facebook-20140619-192225-1.png
    facebook-20140619-192225-1.png
    85.7 KB · Views: 42
Mkuu sisi watanzania au wanadamu ni wanafiki sana wengi huj kutoa ushuhuda baada ya tukio fulani na mtu kufikia kiwango cha mwisho cha kujitetea ndipo utawona wanakuja na wengine kujifanya wanajua zaidi kuliko wewe mlegwa..

Mfano mzuri hata nusu saa haijapita kuna mdau mmoja hapa ameleta maada isemayo msaada wa kuokoa Ndoa ya Huyu Jamaa , ukiangalia baadhi ya michango unaweza kusema tumelogwa na nani? na bado nakubaliana na Trump kabisa Juu ya uwezo wetu wa kupambanunua mambo yanayotuzunguka.. Leo hii kuna Mdao kasema aliyaona mateso yote aliyokuwa anayapitia huyo Marehemu, lakini ukimuuliza alichukuwa hatua gani ya kuokoa au hata kusema neno moja ambalo leo hii lingekuwa muokozi kwa marehemu?
Kifupi tupo humu JF tulio wengi ni wanafiki na tunafurahi Mwenzio akipatwa na matatizo na ukishaona ameptwa na matatizo kama alikuwa rafiki yako hata akikupigia huwezi kupokea tena..
Exactly.
 
Ukitaka kujua JF imejaaa waigizaji, fuatilia sana zile mada zinazoletwa kuhusu MTU anaetatizwa na mahusiano! Utaona upungufu wetu wa akili ulipo, lakini sisi sisi tunasimamisha mishipa ya shingo kwa Trump!

Kwa kifupi trump ametustiri sana kwa lile tusi!
 
baba angu mdogo alikuwa na mchepuko na aliufungulia bonge la salun la kisasa!lakini dem alimkuta ni mdangaji na jamaa akawa anafosi sana kumtuliza kilichomtokea alijiua kabla hata jua kuchomoza!
Alijiuaje??
Alikuwa na mchepuko siku hiyo hadi saa6 usiku kisha wakaagana maana bamdogo alikuwa na wife na watoto wadogo 2.
Kufika hom rafk yake anampigia anamwambia yaani we umetoka tu chumbani jamaa lingine limeingia kumshughulikia demu wako!
Jamaa akaenda kweli akakuta mashine inaungurumishwa ndani na kelele za kutosha!
Akavamia akakuta kweli mzigo wake unaliwa!
Ndio hivyo kwa hasira hasara akaenda kunywa ngao 3.akaacha mke mzuri na watoto wadogo wakimhitaji
Pyeeee

Pole zake

Alimsaliti mkewe matokeo yake.ndio hayo

Rip
 
baba angu mdogo alikuwa na mchepuko na aliufungulia bonge la salun la kisasa!lakini dem alimkuta ni mdangaji na jamaa akawa anafosi sana kumtuliza kilichomtokea alijiua kabla hata jua kuchomoza!
Alijiuaje??
Alikuwa na mchepuko siku hiyo hadi saa6 usiku kisha wakaagana maana bamdogo alikuwa na wife na watoto wadogo 2.
Kufika hom rafk yake anampigia anamwambia yaani we umetoka tu chumbani jamaa lingine limeingia kumshughulikia demu wako!
Jamaa akaenda kweli akakuta mashine inaungurumishwa ndani na kelele za kutosha!
Akavamia akakuta kweli mzigo wake unaliwa!
Ndio hivyo kwa hasira hasara akaenda kunywa ngao 3.akaacha mke mzuri na watoto wadogo wakimhitaji
Stupid
 
Mwanamke ni kiumbe kizaliwacha na shahawa za mwanaume ila siyo kumbe kamwe cha kukitegemea na kukiamini kwa asilimia zote.. Kipende kadri ya uwezo wako ila usikiamini kamwe kwa kuwa Ubongo wa hiki Kiumbe kinawaza vitu vingi ambavyo kati ya Vitu hivyo vyote asilimia kubwa ni Tamaa tuuuuuuuuuuuuuuuuuu hakuna hata kimoja ambacho siyo cha Tamaa..
Sasa Tamaa ikizidi uwezo matokeo yake ni Makubwa... Na hata hizo Ndoa au Mahusiano yanayoyumba ukifuatilia chanco kikubwa ni Tamaa ambayo Mwanamke anataka kutimiziwa na Mwanaume kila Muda..... Mwanamke ni kiumbe kinachoishi na Kuongozwa na Matamanio Muda wote
Penda kwa kutumia akili ya kichwa cha juu,ukitumia moyo na kichwa cha chini umeumia mkuu
 
Tunajadiki issue serious watu wanaleta ujinga

Tusiwe wajinga na kuondolewa kwenye reli ...sisi wasomi na wengine ni WABOBEZI ....nimeweka mkeka huo TAZAMENI NA HIYO ANGLE TUSIFANYWE MADODOKI
CC
Max
Robbot
Fiddiga
Mtanzania
Mwananchi

La sivyo atakayefuatia tutaambiwa...ana ugomvi na mchepuko au wanagombea


EMERGING CONSPIRACY OF PODSOBLE ASSASSINATION <br /><br />Ijulikane kuwa Maro alikuwa Graduate wa IT toka Harvard <br /><br />Ijulikane kuwa Maro kama mwana harakati amehusika actively na mitandao maarufu kama mmiliki,mwenza,mwazilishi,mshiriki <br />Ie Bidii,ulinzi na usalama ,jamii forum etc <br /><br />Ijulikane kuwa wakati mauti yanamkuta alikuwa ametoka kwenye kizuizi cha siku 60 kwa makosa...yanayohusiana na mtandao <br /><br />Ijulikane kwa sasa kuna mamia ya vijana hawapo mtaani kwa makosa ya namna hiyo ikihisiwa wanatoa siri za serikali ,jeshi,tiss etc maro alikua kundi...hilo <br /><br />Ijulikane kuwa Maro amewahi kupigwa huku nyuma na...watu wasiojulikana kama...onyo kwa ushiriki wake na aina ya mijadala na taarifa anazotoa <br /><br />Maro ni kati ya vijana wachache watanzania waliokuwa na uwezo mkubwa wa.kuingilia mitandao<br /><br />Conclusion <br />Wakati dunia nzima inamlaumu Maro kwa kujiuwa ,nani amechunguza masaaa 48 baada ya na kabla hajaingia kwenye hiyo guest <br />Aliongozana na nani guest <br /><br />Nani alimtembelea guest <br /><br />Alijiuwa na sumu aina gani ...<br /><br />Mawasiliano yake ya mwisho kwa simu yakoje <br /><br />Kama alikua na ugomvi na mkewe kwanini aweke namba yake ataarifiwe wakati ana ndugu wengine kama Dada ,kaka etx ...<br />Mwandiko uluotumika ni wake ? Je ameuandika katika hali ya kawaida au shinikizo ( wataalamu wa miandiko wananielewa) <br /><br />Walipovunja mlango ufunguo waliukuta wapi ? Kwenye tundu ? Sakafuni au chini ? Au haukuwapo kabisa ? <br /><br />WAMEANDIKA amekuwa na ugomvi na mkewe four years .....iweje kurudi usiku wa manane mkewe kumfanye ajiuwe leo kama kavumilia miaka minne <br />Mtu aliyekua kizuizini na huko hakuwa anajua mienendo ya mkewe iweje hilo limshtue zaidi...<br /><br />Mazingira yakoje kwenye tukio ? Palikuwa na purukushani ?'je alikufa katika hali gani ...misuli yake ionekana je ,macho yake je ...palikuwa na nini kingine ...<br />Forensic experts waliitwa kabla ya kuchukua kitu chochote <br />Kuna picha mnato na video ??<br /><br />Mwisho napata hitimisho kuwa kutokana na mazingira na ushiriki wake katika yanayoendelea na.kuwa...alitoka kizuizini TUSIWE MISLED KUMLAUMU MKEWE NA MCHEPUKO HADI TUPATE MAJIBU YA HAYA MASWALI <br /><br />MARA NYINGI KWENYE ASSASSINATION HUWA WAANAANGALIA POSSIBLE EXIT ANGLES IKIWEMO WATU WA KUWATUPIA LAWAMA BAADA YA MAUWAJI ..
 
HAUWEZI KULA MUWA KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO BILA KUKUTANA NA FUNDO"
 
Wasalaam,

Kwa akili zangu nazozijua mimi, hakuna haja ya kumlaumu huyu ndugu yetu (maana ukisoma maoni mengi mitandaoni juu ya watu waliojiua akiwepo ndugu yetu Yona Fares Maro kwa sababu ya MAPENZI mengi ni hasi ya kulaumu) KIWANGO KIKUBWA SANA, HAPANA sio sahihi sana hasa kama huna "experience" ya haya mambo ya kuumizwa na kuumizana, jambo la kulaumu ni 1, ninajua alikuwa ana nafasi ya kuokoa uhai wake ila alikosa "MTU WA KARIBU, ALIKOSA USHAURI MAHUSUSI, ALIKOSA WAPI PA KUPUMULIA SUMU ZA MOYO WAKE , JUST ALIBAKI AKISEMEZANA NA MOYO WAKE WENYE MACHUNGU( YA KUONA MWENZA WAKE ANAMSALITI) THEN AKAAFIKIANA NA MOYO WAKE KUWA DAWA NI KUJIUA.

Marehemu Maro aliona hilo ni jibu sahihi kabisa, ni kwanini tusimlaumu?? Ni kwasababu hata wewe yanaweza kukuta , tena wewe uliyekuwa unamlaumu kwa 100%, yatakukuta endapo utakosa ushauri, utakosa mtu wa kumwambia machungu yako basi tarajia maamuzi HASI.

Pia ukikosa kuambiwa UKWELI KUHUSU UHALISIA WA NDOA/MAPENZI basi YATAKUSONONESHA huenda ukachukua uamuzi hatari zaidi kuliko hata huu wa Yona.

Kama upo kwenye mahusiano ya dhati, huenda kuna siku yakapinduka(MUNGU AEPUSHE MBALI) Je umejipanga vipi kuhimili mshindo huo?? NI LAZIMA TUAMBIWE UKWELI KUHUSU MAPENZI , NI LAZIMA TUJUE MAPENZI NI JAMBO LA HATARI, UKISOMA BIBLIA KWENYE WIMBO ULIO BORA NGUVU YA MAPENZI INAFANANISHWA NA MAUTI .

Kanuni ya maisha kwenye kila eneo ni rahisi sana, achilia mbali MAPENZI , kama upo kwa mtu unaemtegemea sana labda kimasomo , kukulisha, kukuvalisha n.k ujue kuna siku ATATWALIWA( MUNGU AEPUSHE MBALI) Kama una kazi nzuri ,biashara nzuri (MUNGU AEPUSHE MBALI) kuna siku utaamka na habari zingine. Sasa tatizo linakuwa ni namna gani umejipanga kuhimili huo mshtuko...Tujifunze kuwa "TUNAPOKULA MUWA BASI TUTAKUTANA NA FUNDO. HAUWEZI KULA MUWA KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO BILA KUKUTANA NA FUNDO"

Wanaojiua watufundishe kuwa walikuwa wana nafasi ya kuokoa maisha sasa walikosa ni wapi pa kuanzia, na kuona KUJIUA NDIO SULUHISHO PEKEE.

Je hapo ulipo una marafiki wa aina gani ambao wanaweza kukuokoa kwenye nyakati ambazo umebakiza uamuzi mmoja pekee wa kukata tamaa ya kuishi?? Au wakula nao bata pekee??

MUNGU AWAWEKE MAHALA PEMA PEPONI WOTE WALIOJIUA KWA SABABU YA KUKATA TAMAA YA KUISHI.
Na wewe ni kamanda?
 
Back
Top Bottom