Yoshua - Amiri jeshi mkuu wa kwanza wa waisrael

Yoshua - Amiri jeshi mkuu wa kwanza wa waisrael

Lakini hakuna kabila la yuda.
Na hats kiebrania wanachoongea sasa ni modern sio mile cha zamani,yaani kiebrania kilihuishwa upya miaka ya 1700.
Kwa hiyo hata kiebrania wanachoongea ni cha kuunda.
Inatakiwa ujue kuwa Israel ilipotea hawa waliokuja kuunda mpya waliforce ndo maana hawajui wajitambulishe kama waisrael ama wayahudi.
Kumbuka wakati wa tawala za Israel na yuda.
Israel walishikilia kuabudu mungu El.
Wayahudi wa yuda walikuwa na mungu wanaabudu akiitwa Yahwew.
Na wayahudi waliwaona waisrael kama wamepotea
[/QUOTE]Unachanganya madesa mkuu
Israel ni yakobo mwenyewe na Yuda ni mtoto wa yakobo hawa kabila la Yuda yaani wazawa waliotokana na mtoto wa yakobo Yuda wanaojiita wayahudi walitawanywa huko na huko baada ya warumi kuivamia Israel mwaka 70bk na kuiacha nchi ikiwa tupu na kukimbia sehemu mbalimbali Duniani sio kwamba walikufa wote hapana na ndio hao vizazi vyao vigundulika huko ulaya wakitangatanga tu bila kujua kwao wapi na huko walifikaje
 
Sasa wewe mwenzangu na mimi Yoshua anakuhusu nini? Hiyo Biblia yenyewe hapa kwetu haina hata miaka 150 leo hii wewe unataka kujiingiiza kwenye ambayo hata hauyafahamu undani wake?

Waache Waarabu na Wayahudi wenyewe watatue matatizo yao, wanajuana hao hata wanashare same dna pamoja lkn wewe hauna DNA na Yesu, Wayahudi au Waarabu!
Maandiko hayo yanaleta ajira mkuu
 
Unachanganya madesa mkuu
Israel ni yakobo mwenyewe na Yuda ni mtoto wa yakobo hawa kabila la Yuda yaani wazawa waliotokana na mtoto wa yakobo Yuda wanaojiita wayahudi walitawanywa huko na huko baada ya warumi kuivamia Israel mwaka 70bk na kuiacha nchi ikiwa tupu na kukimbia sehemu mbalimbali Duniani sio kwamba walikufa wote hapana na ndio hao vizazi vyao vigundulika huko ulaya wakitangatanga tu bila kujua kwao wapi na huko walifikaje[/QUOTE]
Were mkuu unamjua babu yako mzaa babu wa babu yako?

Au unaweza kutuambia chimbuko la kizazi chako enzi za Abraham ni kina nani na walikuwa wapi,?,maana hats we we haukutokea tu,lazima kuna chimbuko.
Au waweza kutueleza pale ilipo nyumba yako,miaka 2000 iliyopita hicho kiwanja alikimiliki nani?.
Nachotaka kukuambia hapa ni kuwa jamii hubadilika,miaka 3000 nyuma,hakukuwa na marekani,na miaka 1000 ijayo hakutakuwa na marekani na hata hiyo israel,hats ikiwepo haitakuwa kama ilivyo sasa na hats lugha itakuwa tofauti,kila kitu kina undergoes changes,hakuna kitu permanent,
Sasa hapo wanaodai sijui kizazi chao kilikuwepo miaka maelfu yaliyopita,ni usanii tu has a ukichukulia hakukua na mwendelezo wa kuishi hapo bila kuhama
 
acha kujitoa akili mungu angemuumba binadamu bila hayo madhaifu wala asingefanya ayo madhaifu
Hakuna popote ambapo Mungu alimpa udhaifu binadamu wakati anamuumba
Tena alimuumba na kumkabidhi kila kitu na masharti kadhaa ili asije kuanguka lakini binadamu hakusikiliza sauti ya Mungu akasikiliza sauti zingine
 
Unachanganya madesa mkuu
Israel ni yakobo mwenyewe na Yuda ni mtoto wa yakobo hawa kabila la Yuda yaani wazawa waliotokana na mtoto wa yakobo Yuda wanaojiita wayahudi walitawanywa huko na huko baada ya warumi kuivamia Israel mwaka 70bk na kuiacha nchi ikiwa tupu na kukimbia sehemu mbalimbali Duniani sio kwamba walikufa wote hapana na ndio hao vizazi vyao vigundulika huko ulaya wakitangatanga tu bila kujua kwao wapi na huko walifikaje
Were mkuu unamjua babu yako mzaa babu wa babu yako?

Au unaweza kutuambia chimbuko la kizazi chako enzi za Abraham ni kina nani na walikuwa wapi,?,maana hats we we haukutokea tu,lazima kuna chimbuko.
Au waweza kutueleza pale ilipo nyumba yako,miaka 2000 iliyopita hicho kiwanja alikimiliki nani?.
Nachotaka kukuambia hapa ni kuwa jamii hubadilika,miaka 3000 nyuma,hakukuwa na marekani,na miaka 1000 ijayo hakutakuwa na marekani na hata hiyo israel,hats ikiwepo haitakuwa kama ilivyo sasa na hats lugha itakuwa tofauti,kila kitu kina undergoes changes,hakuna kitu permanent,
Sasa hapo wanaodai sijui kizazi chao kilikuwepo miaka maelfu yaliyopita,ni usanii tu has a ukichukulia hakukua na mwendelezo wa kuishi hapo bila kuhama[/QUOTE]Unachekesha sana
 
s
Hakuna popote ambapo Mungu alimpa udhaifu binadamu wakati anamuumba
Tena alimuumba na kumkabidhi kila kitu na masharti kadhaa ili asije kuanguka lakini binadamu hakusikiliza sauti ya Mungu akasikiliza sauti zingine
Nakupa kisa kimoja.
SIKU moja jehova alikuwa amekaa katika baraza lake,akawauliza,hivi tufanyaje ili tumfanye mfalme Ahab wa Israel apotee?(kumbuka Ahab alikuwa mfalme wa Israel,adui wa mfalme wa yuda).
Wanabaraza wakatoa maoni yao,akaja shetani akasema Mimi nitamfanya apotee.
Jehova akauliza,"utatumia mbinu gani?"
Shetani akajibu "nitamhadaa ili avamie nchi adui na ataraghaika na kupotea"
Jehova akamwambia,"we we kweli utaweza,Fanya hivyo".

Kwa Maneno hayo,utaona jehova alitumia mbinu kumpoteza mfalme Ahab.

Kwa wanaotaka andiko ntawawekea mida
 
Mungu anae taka jamii moja kuteka nyingine na kupora adhi yao. Tunaweza kusema ni mungu wa wote kweli? Maana anao uwezo wa kuipanua ardhi watu wakaishi kwa amani. Tufikili tu kwa akili ya kawaida
Mkuu bwana kwa unavyosema hivyo ni rahisi sana ila tatizo ni kwa binadamu wenyewe. Binadamu ni wabishi sana ndio maana MUNGU hutumia hizi njia zake kudhihirisha UMUNGU wake vinginevyo binadamu haamini kamwe.

Kwa hiyo kilichobakia ni kuonyesha miujiza yake...
 
Hakuna kitu permanent,hivi Sasaa kuna modern states,hats Israel ya Leo ni modern state sio ile ya enzi zile,
Israel ya zamani ilianguka na kupotea,
Zamani mwaka 1920,hakukua hata na Iraq,Kuwait,Dubai etc.

Nchi ambao zimekuweko enzi na enzi na kuendelea kuwepo continuously ni Syria,ottoman ambao ndo Turkey na Persia ambao ndo iran
Turkey ni kiini cha ottoman empire na Iran ni kiini cha Persia,
Syria peke yake IPO tangu Abraham anahamia caanan.
Hii Israel ya Leo ni tofauti na Israel ya enzi zile,kwani haina continiournity
Mkuu vipi misri na ethiopia?
 
s
Nakupa kisa kimoja.
SIKU moja jehova alikuwa amekaa katika baraza lake,akawauliza,hivi tufanyaje ili tumfanye mfalme Ahab wa Israel apotee?(kumbuka Ahab alikuwa mfalme wa Israel,adui wa mfalme wa yuda).
Wanabaraza wakatoa maoni yao,akaja shetani akasema Mimi nitamfanya apotee.
Jehova akauliza,"utatumia mbinu gani?"
Shetani akajibu "nitamhadaa ili avamie nchi adui na ataraghaika na kupotea"
Jehova akamwambia,"we we kweli utaweza,Fanya hivyo".

Kwa Maneno hayo,utaona jehova alitumia mbinu kumpoteza mfalme Ahab.

Kwa wanaotaka andiko ntawawekea mida
Nalisubiri hilo andiko
 
b:1 Kings 22:19-22International Standard Version (ISV)en-ISV-950119But Micaiah responded, “Therefore, listen to what theLordhas to say. I saw theLord, sitting on his throne, and the entire Heavenly Army was standing around him on his right hand and on his left hand.en-ISV-950220“TheLordask2
 
b:1 Kings 22:19-22Names of God Bible (NOG)en-NOG-949719Micaiah added, “Then hear the word ofYahweh. I saw Yahweh sitting on his throne, and the entire army of heaven was standing near him on his right and his left.en-NOG-949820Yahweh asked, ‘Who will deceive Ahab so that he will attack and be2
 
b:1 Kings 22:19-22Names of God Bible (NOG)en-NOG-949719Micaiah added, “Then hear the word ofYahweh. I sawYahwehsitting on his throne, and the entire army of heaven was standing near him on his right and his left.en-NOG-949820Yahwehasked, ‘Who will deceive Ahab so that he will attack and be2
 
naona inanishinda kucopy yote ila aya iko hapo
Hahahaaa nimeona ila ukiitafsiri vizuri hapajaandikwa shetani kwa maana shetani sio pepo na wala shetani hawezi kuwa mbinguni tena kwa wakati huo wa ahabu mfalme
Pepo aliepewa ruhusa na Mungu anapatikana huko mbinguni na ni kiumbe wa huko mbinguni kwa mujibu wa hilo andiko 1wafalme 19-22
 
Back
Top Bottom