Sean Paul
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,330
- 3,289
Kwahiyo unakubali kuwa ili uwe tajiri lazima ufanye magumashiUkifuata mifumo 100% hutoboi. This is why hata ukiona akina Asas, dewji na bakhresa hawajafuata mifumo 100% kufika walipo sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unakubali kuwa ili uwe tajiri lazima ufanye magumashiUkifuata mifumo 100% hutoboi. This is why hata ukiona akina Asas, dewji na bakhresa hawajafuata mifumo 100% kufika walipo sasa.
NakubaliKwahiyo unakubali kuwa ili uwe tajiri lazima ufanye magumashi
Hivi hiyo Google mnaiaminia sana kama vile lazima kila kitu kiwe huko....amini hizo data mnazopata huko zimewekwa na watu kama mie na wewe...turudi kwenye za kuambiwa....kwa maana kuwa utajiri ni siri(code) na haitamkwi kirahisi namna hiyo, iwe safi au chafu na hata huko google au kwenye vitabu vyote vinavyoeleza kuhusu na namna za kuupata inabidi uunge sana mpaka uifungue tofauti na hapo tuendelee kulipa kodi.Hapo hamna tajiri safi hata moja, hujui biashara zao vizuri neenda ukagoogle kwanza
wellUtajiri wa halali upo lkn hauwezi kupatikana kwa kizazi kimoja. Utajiri wa halali hutokana na kuwa na mtaji mkubwa utakaoutumia kuzalisha faida from time to time.
Sasa wewe kutamani kufika ngazi za kina Bakhressa bila mtaji ndio inakifikisha huko kudhani dirty deals is the only way.
Utajiri kupatikana ni lazima capital iwe imekusanywa from time to time na misingi kujengwa. Tuepuka kukosea kanuni fulani za maisha.
sawa sawa mkuuKwa grammar sahihi waambie moderators waondowe hiyo "a" kwenye heading yako.