You cant be a rich, without shady or dirty deals

You cant be a rich, without shady or dirty deals

Utajiri ni suala la Mungu, yaani akili; ni maarifa. Anayepata maarifa anakuwa tajiri; anayevumbua huyo ni tajiri.

Yesu ambaye ndiye sheria yenyewe amesema juu ya utajiri. Yeye alionya juu ya matajiri na sio utajiri. Maana yake ni kwamba utajiri sio huo mtoa mada anataka tukubaliane nae.
 
Sio kweli, huo ni mtizamo tu... Inawezs kuwa kweli kwa asilimia fulani ila haimaanishi utajiri unakuja kwa kufanya deals chafu tu
Deal chafu sio lazima kuuwa au wizi ,Bali kutumia vitu kama Sheria Kwa advantage Yako au kukwepa Kodi .
Imagine unalipa Kodi na mwenzio ana itumia hiyo Kodi Yako kuendesha V8 na kutunga Sheria aongezewe mshahara.
Fanya cilivil disobedient na utakuwa tajiri bila kumuumiza mtu.
 
Ukiona unafanya kazi husongwisongwi na polisi, TAKUKURU na vyombo vingine vya usalama jua hiyo kazi ni ya kimasKini kabisa. Nafanya kazi ambayo kwa siku naingiza zaidi ya 3m NJE YA MSHAHARA NA POSHO ila vyombo vya usalama washakuwa sehemu ya maisha yangu. nishawahi kuelezea humu japokuwa watu hawakuweza kunielewa
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Ni Rahisi sana ngamia kupita katika Tundu la sindano kuliko tajiri....
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Kwa hiyo group lako linatuwakilisha sote? Tutake radhi.
 
Wrong. Huu muono mzima ni one dimensional. Utajiri haupatikani kwa sababu ya kufanya dirty deals only bali mostly ni kwa kuangalia fursa na kuzitumia lakini first ni lazima uwe na akili na uwezo wa kuziona na kuzitumia. Mfano mzuri ni Maxence Melo na JF, Jeff Bezos na Amazon, Elon Musk -Zip2 na X.com, space X, Tesla, ambayo ni paypal, Mark Zuckerberg na Facebook, What'sApp, na Instagram.

You see, hizo zote ni fursa, kuna uuzaji wa bidhaa, kuna utumaji wa pesa, usafiri, na kuna communication. So, hizi za "hauwezi kuwa tajiri mpaka ufanye dirty deals" ni muono wa kimaskini uliokosa akili.
 
Acha uvivu wa kufikiri..utajiri ni mipango walichotuzidi hao kina bakhresa ni kusimamia misingi waliyojiwekea pamoja na kuwa na ndoto kubwa. Kuna mtu ndoto yake ni nyumba na gari na kuna mtu ndoto yake ni kuwa tajiri, kiufupi utajiri ni akili nyingi na sio kufanya uovu. Hata hizo dirty deals huwezi kufanya kwa mafanikio kama dishi lako limeyumba.
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Maisha yana mambo mengi sana ninakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa sana. Hakuna binadamu anaweza akaweka siri zake zote hadharani. Safari ya kutafuta utajiri inahitaji roho ya ukakamavu sana. Ni safari inayohitaji Nguvu ya ziada katika kupambania ugali wako. Kuna maamuzi magumu mtu aliyesoma sana hawezi kufanya. Kitu kigumu na muhimu sana ni kufungua macho.
 
Utajiri wa halali upo lkn hauwezi kupatikana kwa kizazi kimoja. Utajiri wa halali hutokana na kuwa na mtaji mkubwa utakaoutumia kuzalisha faida from time to time.
Sasa wewe kutamani kufika ngazi za kina Bakhressa bila mtaji ndio inakifikisha huko kudhani dirty deals is the only way.
Utajiri kupatikana ni lazima capital iwe imekusanywa from time to time na misingi kujengwa. Tuepuka kukosea kanuni fulani za maisha.
Hao wakina bakhresa wenyewe wasingefika hapo kama sio kuhujumu National Milling


Kafuatilie kisa cha mkemia mkuu kufa

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona unafanya kazi husongwisongwi na polisi, TAKUKURU na vyombo vingine vya usalama jua hiyo kazi ni ya kimasKini kabisa. Nafanya kazi ambayo kwa siku naingiza zaidi ya 3m NJE YA MSHAHARA NA POSHO ila vyombo vya usalama washakuwa sehemu ya maisha yangu. nishawahi kuelezea humu japokuwa watu hawakuweza kunielewa

Mkuu naomba link ya huo uzi ulioelezea.
 
Back
Top Bottom