Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Ndo hawatakwambia.Sio kweli,ili niamini unachosema naomba listi ya matajiri na biashara na madeal yao machafu yaliyowasaidia kuwa hapo walipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hawatakwambia.Sio kweli,ili niamini unachosema naomba listi ya matajiri na biashara na madeal yao machafu yaliyowasaidia kuwa hapo walipo?
Most likely heaven is not real.Sadly hata huko peponi hatuna uhakika kama hawajajaa matajiri, the game is rigged usishangae na peponi wakawepo hao hao matajiri, baada ya exploitation they repent and give a little back to the community in the name of charity !
Hii niliisikia sehemu....wahindi waliporwa Mali zao sanaa,na kuna wahindi waliwapa waswahili pèsa wakafiche mashambani ama popote wanapojua apo ndo wazee wenye akili walicheza gameJamii nyingi hapa bongo walifanya primitive accumulation of capital na ndio wansambaza kwa vizazi vyao ila ndani yake kuna wizi na utapeli.
Miaka ya nyuma enzi za Nyerere watu waliiba sana na kujimilikisha mali zlizoachwa na wakoloni kama zao na ndio zimewapa utajiri ,kipind hicho media zilikuwa hakuna wala internet kimya kimya.
Nyerere alishindwa kusema maana alizidiwa nguvu ila alitoa onyo "watu wa jamii fulani wasipate uongozi" hao ndio walifanya uwizi mkubwa na kujimilikisha mali hata pale kariakoo.
Kwahiyo wenyewe wamejuaje?Ndo hawatakwambia.
Kwahiyo hayo madeal yao machafu yapo hadharani hadi google?Hapo hamna tajiri safi hata moja, hujui biashara zao vizuri neenda ukagoogle kwanza
Uko wrongHaya ni mawazo ya kipebari bila shaka, maana ubepari huwaza kumiliki Mali. Mali huleta nguvu, ushawishi na mamlaka. Utajiri huja Kwa watu wautakao, tena huja Kwa maarifa makubwa, utajiri unaumbwa Kwa maarifa sio akili! Utajiri upatikanao Kwa njia haramu haudumu bali hupitao kwenye mikono salama hudumu kizazi hata kizazi......
Asante ndugu Mwandishi, ila mimi naona Kuna tofauti kati ya utajiri na Kuishi ndoto za maisha yako. Bse utajiri sio kila kitu ktk Maisha, unaweza kuwa na pesa ila kilio cha kutimiza kusudi la maisha yako likawa pale pale... Binafsi naamini everyone is meant to solve peoples problem, hao ndio hasa roho yako hupata kuridhika pale unaona umekuwa useful au wa msaada kwa mwanadamu.Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.
Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA
Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)
Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.
Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi
Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.
Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.
Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana
I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.
You cant be rich without shady or dirty deals
Popote pale ulipo na utakapokuwako .
Whether in Africa,Europe or Asia
You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.
Otherwise you will end up like lazaraus.
Mkuu kwa asilimia Kubwa Matajiri wengi wamepata utajiri kwa njia haramu hizo biashara halali unazoziona wako nazo ni geresha tu Yako mengi nyuma ya pazia ambayo Huwa ni Siri kubwaKwahiyo hayo madeal yao machafu yapo hadharani hadi google?
Kwakuwa wewe umenipinga na unayajua hayo madeal,naomba nitanjie basi
utajiri ni zawadi hautafutwi bali pesa, ukitafuta utajiri utauwa watuKuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.
Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA
Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)
Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.
Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi
Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.
Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.
Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana
I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.
You cant be rich without shady or dirty deals
Popote pale ulipo na utakapokuwako .
Whether in Africa,Europe or Asia
You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.
Otherwise you will end up like lazaraus.
Mkuu kama utaishi kwa mentality hiyo katika zama hizi utafeli,Utajiri ni matokeo kati ya akili nzuri ya kutafuta pesa na uthubutu yaani kuwa na moyo mkuu na uhodari katika kutafuta pesautajiri ni zawadi hautafutwi bali pesa, ukitafuta utajiri utauwa watu
akili nzuri,uthubutu,moyo mkuu na uhodari! Do you think duniani mtu hodari mthubutu na mwenye moyo mkuu ni musk tu,?? Ivi unajua maana ya fedha?Mkuu kama utaishi kwa mentality hiyo katika zama hizi utafeli,Utajiri ni matokeo kati ya akili nzuri ya kutafuta pesa na uthubutu yaani kuwa na moyo mkuu na uhodari katika kutafuta pesa
It is real my friend. There is no freedom without limit.Most likely heaven is not real.
Could be the greatest hoax of all time.
Ndo naomba unitajie hayo mambo ya nyuma ya pazia yaliyowapa utajiri.Mkuu kwa asilimia Kubwa Matajiri wengi wamepata utajiri kwa njia haramu hizo biashara halali unazoziona wako nazo ni geresha tu Yako mengi nyuma ya pazia ambayo Huwa ni Siri kubwa
Mtu kuwa tajiri mkubwa katika jamii zetu za kiafrica ambazo sio rahisi kwasababu wengi hutoka kwenye familia maskini na za kawaida
Mkuu ushaambiwa ni Siri kama huamini Hilo basi endelea kubisha tuNdo naomba unitajie hayo mambo ya nyuma ya pazia yaliyowapa utajiri.
Naomba listi ya matajiri 10 na madeal yao ya nyuma ya mapazia na ushahidi kuwa ndio yamewapa utajiri.
Well said.Huu ndio utajiri haswa. Kuwa chanzo cha furaha ya kweli Kwa wanadamu wenzako. Hakuna starehe hapa duniani kama hii mengine ni ubatili mtupu na kujilisha upepo[emoji123]Asante ndugu Mwandishi, ila mimi naona Kuna tofauti kati ya utajiri na Kuishi ndoto za maisha yako. Bse utajiri sio kila kitu ktk Maisha, unaweza kuwa na pesa ila kilio cha kutimiza kusudi la maisha yako likawa pale pale... Binafsi naamini everyone is meant to solve peoples problem, hao ndio hasa roho yako hupata kuridhika pale unaona umekuwa useful au wa msaada kwa mwanadamu.
Bahati mbaya wengi tunadhani pesa ndio itatupa kuridhika, no wonder leo tu naona watu wengi wenye pesa hawana Amani, wa natumia madawa ya kulevya... Ili wapate starehe baada ya kuwa na stress... Wengine wa natumia pesa kupata heshima... Ingawa heshima hiyo ni ya unafiki.. Maana heshima ya kweli huja pale watu wanapoona value yako ktk jamii kitu ambacho haki wezi tokea unless umekuwa wa msaada kwa wanadamu wenzio.
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.
Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA
Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)
Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.
Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi
Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.
Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.
Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana
I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.
You cant be rich without shady or dirty deals
Popote pale ulipo na utakapokuwako .
Whether in Africa,Europe or Asia
You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.
Otherwise you will end up like lazaraus.
Unaijua COVID19??au ulikuwa jela!?1.Elon musk
2.Jeff bezos
3.Bill gates
4.na wengine ambao sijawataja hapa
Hapa kuna ukweli na Mungu anavosamehe dhambi, huwa anafuta yote ya nyuma.Sadly hata huko peponi hatuna uhakika kama hawajajaa matajiri, the game is rigged usishangae na peponi wakawepo hao hao matajiri, baada ya exploitation they repent and give a little back to the community in the name of charity !