You cant be a rich, without shady or dirty deals

You cant be a rich, without shady or dirty deals

Jamii nyingi hapa bongo walifanya primitive accumulation of capital na ndio wansambaza kwa vizazi vyao ila ndani yake kuna wizi na utapeli.

Miaka ya nyuma enzi za Nyerere watu waliiba sana na kujimilikisha mali zlizoachwa na wakoloni kama zao na ndio zimewapa utajiri ,kipind hicho media zilikuwa hakuna wala internet kimya kimya.

Nyerere alishindwa kusema maana alizidiwa nguvu ila alitoa onyo "watu wa jamii fulani wasipate uongozi" hao ndio walifanya uwizi mkubwa na kujimilikisha mali hata pale kariakoo.
Hii niliisikia sehemu....wahindi waliporwa Mali zao sanaa,na kuna wahindi waliwapa waswahili pèsa wakafiche mashambani ama popote wanapojua apo ndo wazee wenye akili walicheza game
 
Haya ni mawazo ya kipebari bila shaka, maana ubepari huwaza kumiliki Mali. Mali huleta nguvu, ushawishi na mamlaka. Utajiri huja Kwa watu wautakao, tena huja Kwa maarifa makubwa, utajiri unaumbwa Kwa maarifa sio akili! Utajiri upatikanao Kwa njia haramu haudumu bali hupitao kwenye mikono salama hudumu kizazi hata kizazi......
Uko wrong
Utajiri wa wazungu kuiba rasilimali za Africa umedumu miaka na miaka.
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Asante ndugu Mwandishi, ila mimi naona Kuna tofauti kati ya utajiri na Kuishi ndoto za maisha yako. Bse utajiri sio kila kitu ktk Maisha, unaweza kuwa na pesa ila kilio cha kutimiza kusudi la maisha yako likawa pale pale... Binafsi naamini everyone is meant to solve peoples problem, hao ndio hasa roho yako hupata kuridhika pale unaona umekuwa useful au wa msaada kwa mwanadamu.

Bahati mbaya wengi tunadhani pesa ndio itatupa kuridhika, no wonder leo tu naona watu wengi wenye pesa hawana Amani, wa natumia madawa ya kulevya... Ili wapate starehe baada ya kuwa na stress... Wengine wa natumia pesa kupata heshima... Ingawa heshima hiyo ni ya unafiki.. Maana heshima ya kweli huja pale watu wanapoona value yako ktk jamii kitu ambacho haki wezi tokea unless umekuwa wa msaada kwa wanadamu wenzio.
 
Kwahiyo hayo madeal yao machafu yapo hadharani hadi google?

Kwakuwa wewe umenipinga na unayajua hayo madeal,naomba nitanjie basi
Mkuu kwa asilimia Kubwa Matajiri wengi wamepata utajiri kwa njia haramu hizo biashara halali unazoziona wako nazo ni geresha tu Yako mengi nyuma ya pazia ambayo Huwa ni Siri kubwa
Mtu kuwa tajiri mkubwa katika jamii zetu za kiafrica ambazo sio rahisi kwasababu wengi hutoka kwenye familia maskini na za kawaida
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
utajiri ni zawadi hautafutwi bali pesa, ukitafuta utajiri utauwa watu
 
Utajiri sio kwa kila Mtu Kuna watu wanapata mil 500 lakini anarudi palepale katika poverty zone.

Ukitaka kujua wealth is not for everyone mtafute masikini ambaye unaona anaishi katika poverty zone mpatie hela then tazama anaenda kufanya nini.?


Anayesema utajiri au wealth upo katika Akili yupo sahihi even when you get dirt Money ila Kama hauna Huwezo kuitunza hiyo hela uliyopata from dirt money utapoteza kila kitu finally.

Kuna mtu anaweza kuwa Hana hata Mia but once you see him or her unamuona kuwa atapata Mafanikio Makubwa huko Mbele .
 
Mkuu kama utaishi kwa mentality hiyo katika zama hizi utafeli,Utajiri ni matokeo kati ya akili nzuri ya kutafuta pesa na uthubutu yaani kuwa na moyo mkuu na uhodari katika kutafuta pesa
akili nzuri,uthubutu,moyo mkuu na uhodari! Do you think duniani mtu hodari mthubutu na mwenye moyo mkuu ni musk tu,?? Ivi unajua maana ya fedha?
 
Mkuu kwa asilimia Kubwa Matajiri wengi wamepata utajiri kwa njia haramu hizo biashara halali unazoziona wako nazo ni geresha tu Yako mengi nyuma ya pazia ambayo Huwa ni Siri kubwa
Mtu kuwa tajiri mkubwa katika jamii zetu za kiafrica ambazo sio rahisi kwasababu wengi hutoka kwenye familia maskini na za kawaida
Ndo naomba unitajie hayo mambo ya nyuma ya pazia yaliyowapa utajiri.

Naomba listi ya matajiri 10 na madeal yao ya nyuma ya mapazia na ushahidi kuwa ndio yamewapa utajiri.
 
Asante ndugu Mwandishi, ila mimi naona Kuna tofauti kati ya utajiri na Kuishi ndoto za maisha yako. Bse utajiri sio kila kitu ktk Maisha, unaweza kuwa na pesa ila kilio cha kutimiza kusudi la maisha yako likawa pale pale... Binafsi naamini everyone is meant to solve peoples problem, hao ndio hasa roho yako hupata kuridhika pale unaona umekuwa useful au wa msaada kwa mwanadamu.

Bahati mbaya wengi tunadhani pesa ndio itatupa kuridhika, no wonder leo tu naona watu wengi wenye pesa hawana Amani, wa natumia madawa ya kulevya... Ili wapate starehe baada ya kuwa na stress... Wengine wa natumia pesa kupata heshima... Ingawa heshima hiyo ni ya unafiki.. Maana heshima ya kweli huja pale watu wanapoona value yako ktk jamii kitu ambacho haki wezi tokea unless umekuwa wa msaada kwa wanadamu wenzio.
Well said.Huu ndio utajiri haswa. Kuwa chanzo cha furaha ya kweli Kwa wanadamu wenzako. Hakuna starehe hapa duniani kama hii mengine ni ubatili mtupu na kujilisha upepo[emoji123]
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.

Ukweli mtupu.
 
Sadly hata huko peponi hatuna uhakika kama hawajajaa matajiri, the game is rigged usishangae na peponi wakawepo hao hao matajiri, baada ya exploitation they repent and give a little back to the community in the name of charity !
Hapa kuna ukweli na Mungu anavosamehe dhambi, huwa anafuta yote ya nyuma.
 
Back
Top Bottom