You cant be a rich, without shady or dirty deals

You cant be a rich, without shady or dirty deals

Asante ndugu Mwandishi, ila mimi naona Kuna tofauti kati ya utajiri na Kuishi ndoto za maisha yako. Bse utajiri sio kila kitu ktk Maisha, unaweza kuwa na pesa ila kilio cha kutimiza kusudi la maisha yako likawa pale pale... Binafsi naamini everyone is meant to solve peoples problem, hao ndio hasa roho yako hupata kuridhika pale unaona umekuwa useful au wa msaada kwa mwanadamu.

Bahati mbaya wengi tunadhani pesa ndio itatupa kuridhika, no wonder leo tu naona watu wengi wenye pesa hawana Amani, wa natumia madawa ya kulevya... Ili wapate starehe baada ya kuwa na stress... Wengine wa natumia pesa kupata heshima... Ingawa heshima hiyo ni ya unafiki.. Maana heshima ya kweli huja pale watu wanapoona value yako ktk jamii kitu ambacho haki wezi tokea unless umekuwa wa msaada kwa wanadamu wenzio.
Mkuu wewe unasemea jamii za kizamani miaka ya 60s na 70 kuanzia miaka ya 90s2000 bila pesa huwezi kuheshimika hajalishi hiyo pesa uliipata je

Wanasuasa kwa 90% wengi wanao pata pesa za kuwekeza ni wezi mafisadi ila ndo wana heshima kuliko waalimu wanao fanya kazi halali na pesa halali, "No money No respect" hiyo ndo motto ya sasa.
 
Real because you say so? Give me undisputed facts and I will agree with you.

We all know your freedom ends where mine is starting. By that saying, I agree there is no freedom without limit.
Unfortunately God reveals his truth to those who trust him through his word. You believe in him first then he practically manifests himself in your personal life. And this is what makes me trust him more and more. I'm the kind of person who trusts not in mere stories. God and his Kingdom is real [emoji120]
 
Kwahiyo hayo madeal yao machafu yapo hadharani hadi google?

Kwakuwa wewe umenipinga na unayajua hayo madeal,naomba nitanjie basi

Matajiri wa kizungu kwenye biashara ya madini ni wale waliochukua blood diamond Ivory cost na Congo kila siku damu ina mwagika.

#YNWA
 
wamerudi tena kuhalalisha dhuruma..... eeeh Mungu tuokoe

Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.
Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Tangia kuumbwa kwa dunia hii, wenye maarifa, akili (kufikiria 5x zaidi ya wengine), wenye subira, wenye kuthubutu hata kwenye hatari, wasiojionea huruma kwenye masirahi na nguvu ndiyo wenye uwezo wa kupata mali in abundant.

Haiwezekani kuapata mali (wealth) ukiwa legelege, mzembe, unajionea huruma n.k wazungu, waarabu, wareno n.k walisafiri kutoka bara Ulaya na Asia kuja Afrika kwa usafiri wa shida sana, bila ramani na walikuwa hawajui wanaenda wapi, wengi pia walifia baharini kwa njaa au kupigwa na dharuba.

Walipofika Afrika ilikuwa ni kujichukulia mali na kupeleka kwao, ilikuwa ni kumtumikisha mwafrika mwanzo mwisho. Mwafrika akawa bidhaa sokoni, yote hiyo ni kwa sababu ya kutaka mali.
Kwa aya hapo juu pima maendeleo ya Afrika na Ulaya au Asia, ni dhahiri wao wapo mbele kimaendeleo na tunakili kwamba waliiba Afrika mali walizo nazo, right?

Na bahati mbaya hata sasa wanaiba tu kwa namna ya kisasa, but still tunaibiwa.
Gap iko hapa, mtu akipiga madeal akafanikiwa anaacha, kupunguza au anaacha kukaa front anatumia watu wengine kufanikisha deals zake. Ukimuuliza atadiscourage kwa nguvu zote kupiga deal haramu, atahamasisha ufanye kazi kwa bidii sana na usikate tamaa.

To rich is easy but to be wealth ni mchakato wa miaka mingi. Kila mtu amewahi pitia utajiri kwa namna fulani kwa kiwango chake na level yake, but mtu mwenye mali ni next level aisee...na ili uwe na mali lazima usirubike na wengine wasirubike na waumie (kama vile vile Afrika tunavyoumia, mali inaenda Uarabuni na Ulaya).

Amini nakwambia, matajiri hawa tunaowaona, wamecheza kufa kupona za kutosha kufika walipo, wamedhurumu na kudhurumiwa pia, wameiba na kuibiwa pia, ila kila mtu amehold story yake (hiyo ni darkside) hatupaswi kujua.

Akina sisi tunajionea huruma na kujiona tunaijua sana dhambi na kuigopa tubaki kujikimu tu. Kumbuka kwamba hata ufalume wa mbinguni hupatikana na kwa nguvu na wenye nguvu ndiyo wanaoupata, sembuse MALI.
 
Unfortunately God reveals his truth to those who trust him through his word. You believe in him first then he practically manifests himself in your personal life. And this is what makes me trust him more and more. I'm the kind of person who trusts not in mere stories. God and his Kingdom is real [emoji120]
Oh well well..!
Where did you get the facts about heaven apart from Bible stories.
How do they not qualify as mere stories?
How do you prove someone didn't invent them? At least some of them.

My belief, and I repeat my belief, God exists.
But I don't have any solid proof about my belief. It's based on faith, my intuition, my desire to have something or someone with superpower upon that power I can hope relief or peace of my mind whenever things goes wrong.
Where I can lean on and have support during my troubles. May be because of fear of death which is derived from fear of unknown. As we know, no body knows what happens when you die.

The smarty people who invented religions and heavens or paradise they knew well about this fear of unknown that's why they promised heaven to their believers.
I can say they knew well how to exploit this emotional weakness of human beings. They saw an opportunity and seized it.

My belief about God's existence is also based on how I see nature, wonderful things around us. How things are seems to be coordinated automatically.
Well smoothly run complex systems.
The weather seasons, ecosystems, reproduction systems, e.t.c.
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Utajiri wa halali upo lkn hauwezi kupatikana kwa kizazi kimoja. Utajiri wa halali hutokana na kuwa na mtaji mkubwa utakaoutumia kuzalisha faida from time to time.
Sasa wewe kutamani kufika ngazi za kina Bakhressa bila mtaji ndio inakifikisha huko kudhani dirty deals is the only way.
Utajiri kupatikana ni lazima capital iwe imekusanywa from time to time na misingi kujengwa. Tuepuka kukosea kanuni fulani za maisha.
 
Oh well well..!
Where did you get the facts about heaven apart from Bible stories.
How do they not qualify as mere stories?
How do you prove someone didn't invent them? At least some of them.

My belief, and I repeat my belief, God exists.
But I don't have any solid proof about my belief. It's based on faith, my intuition, my desire to have something or someone with superpower upon that power I can hope relief or peace of my mind whenever things goes wrong.
Where I can lean on and have support during my troubles. May be because of fear of death which is derived from fear of unknown. As we know, no body knows what happens when you die.

The smarty people who invented religions and heavens or paradise they knew well about this fear of unknown that's why they promised heaven to their believers.
I can say they knew well how to exploit this emotional weakness of human beings. They saw an opportunity and seized it.

My belief about God's existence is also based on how I see nature, wonderful things around us. How things are seems to be coordinated automatically.
Well smoothly run complex systems.
The weather seasons, ecosystems, reproduction systems, e.t.c.
They are mere stories if and only if they never become practically evident. So long as whatever said becomes practically evident why should I keep on hardening my neck then?. What other proof do I need?[emoji3]
 
Primitive accumulation of capital its necessary evil kama unataka kua tajiri, hiyo ndo njia peke nchi za wenzetu ziliweza kutupita haraka.........pesa ya mshahara au ya kuuza madafu haiwezi kukupa utajiri, labda uingie kwenye siasa uibe pesa za umma kwa kujifanta mzalendo, kama wana siasa zetu.
Uki trace baadhi ya majarida ya sasa kuhusu jamii fulani fulani za kale ambazo zilikuwa na utajiri basi kuna uhaini ulifanyika ili kutengeneza barabara ya utajiri kwenye koo zao
 
Asante ndugu Mwandishi, ila mimi naona Kuna tofauti kati ya utajiri na Kuishi ndoto za maisha yako. Bse utajiri sio kila kitu ktk Maisha, unaweza kuwa na pesa ila kilio cha kutimiza kusudi la maisha yako likawa pale pale... Binafsi naamini everyone is meant to solve peoples problem, hao ndio hasa roho yako hupata kuridhika pale unaona umekuwa useful au wa msaada kwa mwanadamu.

Bahati mbaya wengi tunadhani pesa ndio itatupa kuridhika, no wonder leo tu naona watu wengi wenye pesa hawana Amani, wa natumia madawa ya kulevya... Ili wapate starehe baada ya kuwa na stress... Wengine wa natumia pesa kupata heshima... Ingawa heshima hiyo ni ya unafiki.. Maana heshima ya kweli huja pale watu wanapoona value yako ktk jamii kitu ambacho haki wezi tokea unless umekuwa wa msaada kwa wanadamu wenzio.
Sawasawa
 
Back
Top Bottom