You cant be a rich, without shady or dirty deals

You cant be a rich, without shady or dirty deals

Utajiri wa halali upo lkn hauwezi kupatikana kwa kizazi kimoja. Utajiri wa halali hutokana na kuwa na mtaji mkubwa utakaoutumia kuzalisha faida from time to time.
Sasa wewe kutamani kufika ngazi za kina Bakhressa bila mtaji ndio inakifikisha huko kudhani dirty deals is the only way.
Utajiri kupatikana ni lazima capital iwe imekusanywa from time to time na misingi kujengwa. Tuepuka kukosea kanuni fulani za maisha.
I agree
 
Tangia kuumbwa kwa dunia hii, wenye maarifa, akili (kufikiria 5x zaidi ya wengine), wenye subira, wenye kuthubutu hata kwenye hatari, wasiojionea huruma kwenye masirahi na nguvu ndiyo wenye uwezo wa kupata mali in abundant.

Haiwezekani kuapata mali (wealth) ukiwa legelege, mzembe, unajionea huruma n.k wazungu, waarabu, wareno n.k walisafiri kutoka bara Ulaya na Asia kuja Afrika kwa usafiri wa shida sana, bila ramani na walikuwa hawajui wanaenda wapi, wengi pia walifia baharini kwa njaa au kupigwa na dharuba.

Walipofika Afrika ilikuwa ni kujichukulia mali na kupeleka kwao, ilikuwa ni kumtumikisha mwafrika mwanzo mwisho. Mwafrika akawa bidhaa sokoni, yote hiyo ni kwa sababu ya kutaka mali.
Kwa aya hapo juu pima maendeleo ya Afrika na Ulaya au Asia, ni dhahiri wao wapo mbele kimaendeleo na tunakili kwamba waliiba Afrika mali walizo nazo, right?

Na bahati mbaya hata sasa wanaiba tu kwa namna ya kisasa, but still tunaibiwa.
Gap iko hapa, mtu akipiga madeal akafanikiwa anaacha, kupunguza au anaacha kukaa front anatumia watu wengine kufanikisha deals zake. Ukimuuliza atadiscourage kwa nguvu zote kupiga deal haramu, atahamasisha ufanye kazi kwa bidii sana na usikate tamaa.

To rich is easy but to be wealth ni mchakato wa miaka mingi. Kila mtu amewahi pitia utajiri kwa namna fulani kwa kiwango chake na level yake, but mtu mwenye mali ni next level aisee...na ili uwe na mali lazima usirubike na wengine wasirubike na waumie (kama vile vile Afrika tunavyoumia, mali inaenda Uarabuni na Ulaya).

Amini nakwambia, matajiri hawa tunaowaona, wamecheza kufa kupona za kutosha kufika walipo, wamedhurumu na kudhurumiwa pia, wameiba na kuibiwa pia, ila kila mtu amehold story yake (hiyo ni darkside) hatupaswi kujua.

Akina sisi tunajionea huruma na kujiona tunaijua sana dhambi na kuigopa tubaki kujikimu tu. Kumbuka kwamba hata ufalume wa mbinguni hupatikana na kwa nguvu na wenye nguvu ndiyo wanaoupata, sembuse MALI.
Mimi nitakuwa wa kwanza kutajirika bila mchezo mchafu wowote. There's science of getting wealthy [emoji3]
 
Tangia kuumbwa kwa dunia hii, wenye maarifa, akili (kufikiria 5x zaidi ya wengine), wenye subira, wenye kuthubutu hata kwenye hatari, wasiojionea huruma kwenye masirahi na nguvu ndiyo wenye uwezo wa kupata mali in abundant.

Haiwezekani kuapata mali (wealth) ukiwa legelege, mzembe, unajionea huruma n.k wazungu, waarabu, wareno n.k walisafiri kutoka bara Ulaya na Asia kuja Afrika kwa usafiri wa shida sana, bila ramani na walikuwa hawajui wanaenda wapi, wengi pia walifia baharini kwa njaa au kupigwa na dharuba.

Walipofika Afrika ilikuwa ni kujichukulia mali na kupeleka kwao, ilikuwa ni kumtumikisha mwafrika mwanzo mwisho. Mwafrika akawa bidhaa sokoni, yote hiyo ni kwa sababu ya kutaka mali.
Kwa aya hapo juu pima maendeleo ya Afrika na Ulaya au Asia, ni dhahiri wao wapo mbele kimaendeleo na tunakili kwamba waliiba Afrika mali walizo nazo, right?

Na bahati mbaya hata sasa wanaiba tu kwa namna ya kisasa, but still tunaibiwa.
Gap iko hapa, mtu akipiga madeal akafanikiwa anaacha, kupunguza au anaacha kukaa front anatumia watu wengine kufanikisha deals zake. Ukimuuliza atadiscourage kwa nguvu zote kupiga deal haramu, atahamasisha ufanye kazi kwa bidii sana na usikate tamaa.

To rich is easy but to be wealth ni mchakato wa miaka mingi. Kila mtu amewahi pitia utajiri kwa namna fulani kwa kiwango chake na level yake, but mtu mwenye mali ni next level aisee...na ili uwe na mali lazima usirubike na wengine wasirubike na waumie (kama vile vile Afrika tunavyoumia, mali inaenda Uarabuni na Ulaya).

Amini nakwambia, matajiri hawa tunaowaona, wamecheza kufa kupona za kutosha kufika walipo, wamedhurumu na kudhurumiwa pia, wameiba na kuibiwa pia, ila kila mtu amehold story yake (hiyo ni darkside) hatupaswi kujua.

Akina sisi tunajionea huruma na kujiona tunaijua sana dhambi na kuigopa tubaki kujikimu tu. Kumbuka kwamba hata ufalume wa mbinguni hupatikana na kwa nguvu na wenye nguvu ndiyo wanaoupata, sembuse MALI.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote ,
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
True
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Kwa grammar sahihi waambie moderators waondowe hiyo "a" kwenye heading yako.
 
Utajiri sio kwa kila Mtu Kuna watu wanapata mil 500 lakini anarudi palepale katika poverty zone.

Ukitaka kujua wealth is not for everyone mtafute masikini ambaye unaona anaishi katika poverty zone mpatie hela then tazama anaenda kufanya nini.?


Anayesema utajiri au wealth upo katika Akili yupo sahihi even when you get dirt Money ila Kama hauna Huwezo kuitunza hiyo hela uliyopata from dirt money utapoteza kila kitu finally.

Kuna mtu anaweza kuwa Hana hata Mia but once you see him or her unamuona kuwa atapata Mafanikio Makubwa huko Mbele .
Safi sana dr
 
Toeni hoja za msingi na zenye uthibitisho kuwa ili kuwa tajiri lazima ufanye madili machafu
 
Back
Top Bottom