You cant be a rich, without shady or dirty deals

You cant be a rich, without shady or dirty deals

Deal chafu sio lazima kuuwa au wizi ,Bali kutumia vitu kama Sheria Kwa advantage Yako au kukwepa Kodi .
Imagine unalipa Kodi na mwenzio ana itumia hiyo Kodi Yako kuendesha V8 na kutunga Sheria aongezewe mshahara.
Fanya cilivil disobedient na utakuwa tajiri bila kumuumiza mtu.
I agree
 
Maisha yana mambo mengi sana ninakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa sana. Hakuna binadamu anaweza akaweka siri zake zote hadharani. Safari ya kutafuta utajiri inahitaji roho ya ukakamavu sana. Ni safari inayohitaji Nguvu ya ziada katika kupambania ugali wako. Kuna maamuzi magumu mtu aliyesoma sana hawezi kufanya. Kitu kigumu na muhimu sana ni kufungua macho.
🤝🤝
 
Ukiona unafanya kazi husongwisongwi na polisi, TAKUKURU na vyombo vingine vya usalama jua hiyo kazi ni ya kimasKini kabisa. Nafanya kazi ambayo kwa siku naingiza zaidi ya 3m NJE YA MSHAHARA NA POSHO ila vyombo vya usalama washakuwa sehemu ya maisha yangu. nishawahi kuelezea humu japokuwa watu hawakuweza kunielewa
Mbona 3M kidogo sana kuanza kufatiliwa!
 
Haya ni mawazo ya kipebari bila shaka, maana ubepari huwaza kumiliki Mali. Mali huleta nguvu, ushawishi na mamlaka. Utajiri huja Kwa watu wautakao, tena huja Kwa maarifa makubwa, utajiri unaumbwa Kwa maarifa sio akili! Utajiri upatikanao Kwa njia haramu haudumu bali hupitao kwenye mikono salama hudumu kizazi hata kizazi......
Hizo ndio kauli za kimasikini Sasa shehe
 
Kwenye kila utajiri nyuma yake Kuna uchafu ambao umefunikwa na kaniki nyeusi usionekane.
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Shoddy vs shady?
 
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna.

Tukaulizana tena ni nani kafanikiwa kujenga aprtments na hotel kubwa kama Serena na Ramada kwa kupita kuweka akiba na ujira ule ule wa kazi zetu jibu likafanana na lile la kwenye swali la kwanza.

Sasa hata wewe unaweza kujiuliza kwa kutumia Zile formula za Geometry na Calculus umefanikiwa kupata maisha ya ndoto zako??, Ati , kwa Zile principle za Archimedes au Mzee Newton , au ni nani amefanikiwa kupata maisha mazuri kwa kaelimu ketu haka haka ka kuunda sentensi kwa njia ya matawi jibu ni lilelile HAKUNA

Wazee wetu waliturithisha msingi wa kwanza ni elimu .,
Nasi tukaifuata hatuwezi walaumu wala kuilaumu elimu sanasana imetutoa katika kivuli kikubwa sana cha ujinga lakini Elimu yetu bado imeshindwa kutupa utajiri,ambao ndio silaha kubwa ya adui namba moja wa mwanadamu (Umaskini)

Tumeishi mara kadhaa na matajiri ambao huko zamani hadithi zao zinataja yakwamba, hawakuthubutu hata kufika darasa la 7.

Kwa bahati mbaya sana hata hiyo siri ya wao kuwa matajiri hawakupi

Vingenevyo utaskia kauli za kishujaa kutoka kwa motivational speakers, eti ukianza hata na nyoya la kuku linatosha kuzalisha kuku wengi ambao mbeleni watakuletea mamilioni. damn.

Tukielezana ukweli wengi wetu elimu imetupatia hela ya mboga tu na kubadilisha nguo na kulipia ada na mahitaji kadhaa.
Ambayo wengi wetu tunasema Alhmdullillah.

Ila ukweli kabisa ule utajiri wa bakhresa na Kina Mzee Alhaji Dangote una siri kubwa sana mabwana

I tell people the truth every day hakuna braah braah za eti ukauza ukwaju na barafu au visheti barabarani ukaangukia kuwa na pesa kama ginimbi.

You cant be rich without shady or dirty deals

Popote pale ulipo na utakapokuwako .

Whether in Africa,Europe or Asia

You must break the law to be wealthy
Steal tax evasion, scam people, na uchafu mwingine mwingine mwingine mwingi.

Otherwise you will end up like lazaraus.
Behind every great fortune there is a crime-Mario Puzo from the book "The Godfather"
 
Ukiwa na mtaji wa kutosha na uzoefu ukijuimuisha na roho ya kijasiriamali inawezekana kufanikwa bila shady deals. Or at least that'swhat the western media want us to believe.
 
Wealth comes after serious and excessive exploitation and leveraging of other people or other people's resources.
Ni vile ukaambiwa ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia peponi.
True!
 
Sio kweli,ili niamini unachosema naomba listi ya matajiri na biashara na madeal yao machafu yaliyowasaidia kuwa hapo walipo?
Mfano tu, unaambiwa Manji alipewa tenda ya kusupply sare za jeshi nchi nzima kwa miaka kadhaa hapa Tanzania bila kufuata njia sahihi za tenda. Unadhani hiyo siyo deal chafu?
 
Ukiwa na mtaji wa kutosha na uzoefu ukijuimuisha na roho ya kijasiriamali inawezekana kufanikwa bila shady deals. Or at least that'swhat the western media want us to believe.
Shady doesn't necessarily mean uwe mhalifu asilimia mia moja.
 
Kwenye bara hili la giza. Nakubaliana na wewe.

Kwenye dunia ya kwanza. Talent inamfanya mtu kuwa tajiri wa kutupa. Angalia

Musicians
Footballers
Wacheza golf, tennis, basketball
 
Back
Top Bottom