You cant be a rich, without shady or dirty deals

Hapo hamna tajiri safi hata moja, hujui biashara zao vizuri neenda ukagoogle kwanza
Hivi hiyo Google mnaiaminia sana kama vile lazima kila kitu kiwe huko....amini hizo data mnazopata huko zimewekwa na watu kama mie na wewe...turudi kwenye za kuambiwa....kwa maana kuwa utajiri ni siri(code) na haitamkwi kirahisi namna hiyo, iwe safi au chafu na hata huko google au kwenye vitabu vyote vinavyoeleza kuhusu na namna za kuupata inabidi uunge sana mpaka uifungue tofauti na hapo tuendelee kulipa kodi.
 
well
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…