You title it.......

You title it.......

Dah! mbona usiku usiku na si kawaida yako honey? kwema? au leo zamu yangu msukuma kapotea jangwani?

na kupotea kwako....nimetelekezwa na leo? nipo nipo kama nyanya za nyongeza nimefurahije kukuona leo? 2malizane pm...lol
 
Yaani wembamba wangu nitautetea hata kama nusu ya mshahara itaenda GYM, mtu unatoka kazini unapitia zako hospitali na pochi lako lenye kila kitu....unawapigia tu jamani sasa ndo muda wa kisu/kujifungua....just in case....lol


inshallaah dearest....mie nilikuwa sichagui, makande/dagaa/bamia /samaki etc....hahahhaha walikuja kujua uchugu ukinihusu, pweeeeh huyo wakwanza, wa pili alijulikana ktkt....wa kwanza niliwapa wa2 mshtuko haswaa, chuo/uchumba/mimba....imagine!
 
na kupotea kwako....nimetelekezwa na leo? nipo nipo kama nyanya za nyongeza nimefurahije kukuona leo? 2malizane pm...lol
hehehe mimi nikikuona wewe bana navua na pete ya ndoa kabisa yaani ili kuuwa ushahidi, na leo umekuja usiku usiku basi hata harufu ya soksi zangu siisikiii, khaaa! kupenda ugonjwa wajameni
 
inshallaah dearest....mie nilikuwa sichagui, makande/dagaa/bamia /samaki etc....hahahhaha walikuja kujua uchugu ukinihusu, pweeeeh huyo wakwanza, wa pili alijulikana ktkt....wa kwanza niliwapa wa2 mshtuko haswaa, chuo/uchumba/mimba....imagine!

Mi ni samaki tu dearest, yaani nawapenda mwanzo mwisho......na wali au ugali au viazi vya kuponda....huyo wa pili alikuweza...lol

Ngoja nijitahidi nipate viwili vingine nione hali itakuwaje......natamani niwe kama wewe Nyamayao...sitaki mambo ya kununua nguo
 
alikumbwa na mafuriko na misaada imechelewa kutoka nahisi karudi mabondeni,missed u lots mpaka nikakuota the boss hajakwambia?
Isje kuwa umeniota ili nikasaidie hela ya kumkomboa excellent, manake nyinyi wadada kwa sapraiz bana .
Nilikumiss mpaka nikakugoogle, kulaleki!
 
Back
Top Bottom