Angalau leo safi, kuna nguchiro kama OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE nadhani wanagugumia! Halafu sijui kuna nini, mtu akiwa mshabiki wa Simba na mpenzi wa Chadema anakuwa wa ovyo au siyo Mshana JrTena tumeyafuta kikatili sana mdogo wangu yaani mpaka msimu unaisha nafasi ya kwanza munaisikia tu. π π
I hope uko mzima. Ukimuona Bill π mwambie namsalimia.π
Aaaah that's too much, punguza maneno makali kidogooπ€£π€£π€£π€£Usijali tutaipoza mbususu na sweet wine huku mie napiticha ulimi kwenye kisimi mrembo.
Alafu game itarudiwa tena tukichukua ndoo ya fa..π
Futa huu uzi wa mchongoUpdate zipo Azam sports1hd
Ngapi?Piga hao vyura
π πAngalau leo safi, kuna nguchiro kama OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE nadhani wanagugumia! Halafu sijui kuna nini, mtu akiwa mshabiki wa Simba na mpenzi wa Chadema anakuwa wa ovyo au siyo Mshana Jr
Sawa bby usijali tutayamaliza kuleeee pmAaaah that's too much, punguza maneno makali kidogoo
Bado Mechi Mbili Tu Za Ushindi Tumalize Kazi [emoji4]
Kwa niaba ya wengine nasema asante sana.Kweli mmepata kocha, kwangu mimi ni kocha bora kuwahi kutokea katika club ya young africans. Pongezi kwake Nabi. Hongereni wanayangaππ½
Na Huko Pia Tunakuja Kuwabinua Ni Suala La Muda Tu [emoji4]Nyinyi Utopolo msisahau leo timu yetu nyingine imechukua ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo baada ya kumpiga mtu 3-0
Yaani kwanza usiku huu lazima nipate mrembo ateteme mbele yangu kama mayeleKwa niaba ya wengine nasema asante sana.
Na mbususu tutazichakata sana kesho hakuna kazi mzabzab atatupa mwongozo.
Hapa wanaongelewa wanaume wa shoka kama bangala.Nyinyi Utopolo msisahau leo timu yetu nyingine imechukua ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo baada ya kumpiga mtu 3-0
Makolo Wapigwe tu (katika sauti ya Pinda)Ukumbuke kabla ya tarehe 28 kesho kutwa matikiti ya mo yanakutana na kigogo Geita gold. Tena wanakipigia ugenini
unasema[emoji101]Kwa game inavyoenda Uto watapewa penati...ni suala la muda tu
Jafeeee hajatokea kabisa, ila ametisha sanaππ
Mkuu nilikuwa busy uwanjani kuangalia mechi, saizi ndiyo narudi ndiyo maana sijaonekana jukwaani,nikiwa kwenye TV ndiyo inakuwa rahisi kuwepo hapa