Weee!! Haya bana.Waliotupiga tano tano walifika wap?
Hujazoea tu ? Mwaka wa ngapi huu?Muendelee nayo hadi kwa FC Berkene basi.
Leo ndo anamalizia adhabu ya kumpiga mchezaji wa PolisiHivi Djuma Shabani adhabu yake ni ipi hiyo Mkuu?
Leo mnafungwa halafu munakufa kwa preshaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Weee!! Haya bana.
Ni Ya Kukosa Mechi Tatu Pamoja Na Faini Ya 1mil Kwa Kosa La Kumgusa Kwa Kiwiko Mchezaji Wa Police Tanzania.Hivi Djuma Shabani adhabu yake ni ipi hiyo Mkuu?
Mbona wote usipokuwa wawili ni wasugua benchi wa kudumu? Malalamiko FCWachezaji Tutakaowakosa Leo Dhidi Ya Biashara.View attachment 2120261
Kibwana Sina Uhakika Juu Ya Kurudi Na Kuanza Na Imani Ameanza Mazoezi Na Wachezaji Wenzake.Ila ni wengi. [emoji848][emoji848] Hivyo nafasi ya Job na ya Yasin (Kibwana Shomari mgonjwa au ashapona) atacheza nani?
Mkuu Amka Toka Usingizini Boss.Leo mnafungwa halafu munakufa kwa preshaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Hizi Ni Updates Za Wachezaji Kwa Kila Mtu Hata Wewe Inabidi Ufahamu Maana Mabingwa Tunaingia Uwanjani Muda Si Mrefu.Mbona wote usipokuwa wawili ni wasugua benchi wa kudumu? Malalamiko FC
Hahahaaa. Naona nimekuibua. LolHujazoea tu ? Mwaka wa ngapi huu?
Hahahaaa. Hatujafikia huko kikawaida kama mimi huwa naamini mpira una matokeo matatu hivyo mpira hauwezi nizimisha hata siku moja.Leo mnafungwa halafu munakufa kwa preshaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ooh!! Nikajua ile mechi na Mbeya City.Ni Ya Kukosa Mechi Tatu Pamoja Na Faini Ya 1mil Kwa Kosa La Kumgusa Kwa Kiwiko Mchezaji Wa Police Tanzania.
🤣🤣🤣Mkuu Amka Toka Usingizini Boss.
Nakazia Mkuu.Mkuu Hizi Ni Updates Za Wachezaji Kwa Kila Mtu Hata Wewe Inabidi Ufahamu Maana Mabingwa Tunaingia Uwanjani Muda Si Mrefu.
Naona Diarra karudi. Lakini ningependa zaidi wangekuwa wanawapanga kwa kupokezana ili na Mshery asichuje.1st XI Line Up.View attachment 2120289
Ndo naenda kulala[emoji16]Mkuu Amka Toka Usingizini Boss.
Mabingwa wa kombe lipi?Mkuu Hizi Ni Updates Za Wachezaji Kwa Kila Mtu Hata Wewe Inabidi Ufahamu Maana Mabingwa Tunaingia Uwanjani Muda Si Mrefu.
Ha ha haaaHahahaaa. Hatujafikia huko kikawaida kama mimi huwa naamini mpira una matokeo matatu hivyo mpira hauwezi nizimisha hata siku moja.
Nitaumia roho tu ila sio kufwa. [emoji3]