Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Graphics Designer Wa Yanga Sc Ana Balaaa [emoji91] [emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua George Mpole kabla hajaibukia Geita Gold alikua anajishughulisha na nini?Kambole je?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na yule wa nyukasto....hizi timu hizi stress ujitakie tu,mtu 3yrs anafanya kazi godown leo kaibukia TAPUKULU FC
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Ila watu hawalali bana. 😂 Mpaka makolo hawakulala. 😂Mamaaaaaa..!! [emoji91]View attachment 2287404
Afadhali wamekumbuka kutuletea beki. Katokea timu gani?Here We Goooo..[emoji4] [emoji169][emoji172]View attachment 2287578
Alisikika kolo mmoja. 😂😂😂Kwenye ligi mmemaliza bila Kufungwa bado hamtosheki mnaongeza Tena wenginee Ili iwejeee Sasa[emoji3061]
[emoji26]Ivi tukiamua kuwasusia Ligi mtatuona wakorofi[emoji3064] .
[emoji24]Sijapenda kwakweli
Na mimi naisubiria Mkuu.
Makolo Wanajitesa Bure Na Usingizi Wanaacha Kulala Wanasubiri Habari Za Wakubwa Maana Wao Mida Yao Ni Mchana Mida Ya Watoto [emoji23][emoji23]... ilibidi Usiku Wawe Wameshalala Maana Iyo Ni Mida Yetu Wakubwa Kutambulisha Wachezaji Wakubwa.Ila watu hawalali bana. [emoji23] Mpaka makolo hawakulala. [emoji23]
Timu Ya Ligi Kuu Ya Angola Inaitwa G.D Sagrada Esperanca.Afadhali wamekumbuka kutuletea beki. Katokea timu gani?
Waanze na namba mbili huyo mungine wamuache kwanza. 🤣
Oooh!! 🙏Timu Ya Ligi Kuu Ya Angola Inaitwa G.D Sagrada Esperanca.
😂😂 Hawana hamu na saa saba yao. 😂😂Makolo Wanajitesa Bure Na Usingizi Wanaacha Kulala Wanasubiri Habari Za Wakubwa Maana Wao Mida Yao Ni Mchana Mida Ya Watoto [emoji23][emoji23]... ilibidi Usiku Wawe Wameshalala Maana Iyo Ni Mida Yetu Wakubwa Kutambulisha Wachezaji Wakubwa.
Huyu Apa Au Sio [emoji28], Basi Muda Si Mrefu Atakuwa Amefika Viunga Vya Jangwani [emoji28] [emoji172][emoji169]Waanze na namba mbili huyo mungine wamuache kwanza. [emoji1787]
Na Wachezaji Wao Wanaosimamisha Afrika Na Dunia Ya Pekeyao [emoji1787][emoji23][emoji23] Hawana hamu na saa saba yao. [emoji23][emoji23]