Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Hivi unajua George Mpole kabla hajaibukia Geita Gold alikua anajishughulisha na nini?Kambole je?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na yule wa nyukasto....hizi timu hizi stress ujitakie tu,mtu 3yrs anafanya kazi godown leo kaibukia TAPUKULU FC
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Ila watu hawalali bana. π Mpaka makolo hawakulala. πMamaaaaaa..!! [emoji91]View attachment 2287404
Afadhali wamekumbuka kutuletea beki. Katokea timu gani?Here We Goooo..[emoji4] [emoji169][emoji172]View attachment 2287578
Alisikika kolo mmoja. πππKwenye ligi mmemaliza bila Kufungwa bado hamtosheki mnaongeza Tena wenginee Ili iwejeee Sasa[emoji3061]
[emoji26]Ivi tukiamua kuwasusia Ligi mtatuona wakorofi[emoji3064] .
[emoji24]Sijapenda kwakweli
Na mimi naisubiria Mkuu.
Makolo Wanajitesa Bure Na Usingizi Wanaacha Kulala Wanasubiri Habari Za Wakubwa Maana Wao Mida Yao Ni Mchana Mida Ya Watoto [emoji23][emoji23]... ilibidi Usiku Wawe Wameshalala Maana Iyo Ni Mida Yetu Wakubwa Kutambulisha Wachezaji Wakubwa.Ila watu hawalali bana. [emoji23] Mpaka makolo hawakulala. [emoji23]
Timu Ya Ligi Kuu Ya Angola Inaitwa G.D Sagrada Esperanca.Afadhali wamekumbuka kutuletea beki. Katokea timu gani?
Waanze na namba mbili huyo mungine wamuache kwanza. π€£
Oooh!! πTimu Ya Ligi Kuu Ya Angola Inaitwa G.D Sagrada Esperanca.
ππ Hawana hamu na saa saba yao. ππMakolo Wanajitesa Bure Na Usingizi Wanaacha Kulala Wanasubiri Habari Za Wakubwa Maana Wao Mida Yao Ni Mchana Mida Ya Watoto [emoji23][emoji23]... ilibidi Usiku Wawe Wameshalala Maana Iyo Ni Mida Yetu Wakubwa Kutambulisha Wachezaji Wakubwa.
Huyu Apa Au Sio [emoji28], Basi Muda Si Mrefu Atakuwa Amefika Viunga Vya Jangwani [emoji28] [emoji172][emoji169]Waanze na namba mbili huyo mungine wamuache kwanza. [emoji1787]
Na Wachezaji Wao Wanaosimamisha Afrika Na Dunia Ya Pekeyao [emoji1787][emoji23][emoji23] Hawana hamu na saa saba yao. [emoji23][emoji23]