ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hatuwahi kua na kazi mbovu kiasi hikiSijui lkn naona kama msimu huu hatuna jeziView attachment 2307092
Kwani ndo wenyewe Mkuu au ndo watu wanagues?Mfano Kama Ni Kweli Home Kit Yetu Ndo Ikiwa Hii, Wananchii Wenzangu Huu Uzi Mnaupa Asilimia Ngapi?View attachment 2306523
Mmmh! 🤔Sijui lkn naona kama msimu huu hatuna jeziView attachment 2307092
Aisee!!Mkuu Hakuna Kitu Kama Hicho..Sheria Ngowi Hawezi Fanya Huu Upuuzi.
Aisee kazi ipo.Mijezi gn hii [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Nimecheka eti kwani ni shati hilo. 😂😂Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mkuu...Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Mkuu Hakuna Kitu Kama Hicho..Sheria Ngowi Hawezi Fanya Huu Upuuzi.
Mijezi gn hii [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Ndo yenyewe jezi ya nyumbani eti. 🙃🙃🙃Hatuwahi kua na kazi mbovu kiasi hiki
Tuione picha ya jezi mkuuSHERIA NGOWI AKAMATWE ANAIHUJUMU YANGA
Hii ya kijani watubadilishie hapa wanatufanya kama mapopoma hiyo sio jezi haina mvuto hata kuvaa..
🤣🤣🤣Hii ya kijani watubadilishie hapa wanatufanya kama mapopoma hiyo sio jezi haina mvuto hata kuvaa..
Naona ramani za majengo ya wakoloniSijui lkn naona kama msimu huu hatuna jeziView attachment 2307092
Nimeona nyumba yangu bwana kwenye hii jezi ya kijani[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ya kijani watubadilishie hapa wanatufanya kama mapopoma hiyo sio jezi haina mvuto hata kuvaa..
Aah Ndugu Yangu Hii Jezi Mimi Hapana Kwakweli, Kiherehere Chote Kimeniisha.Ndo yenyewe jezi ya nyumbani eti. [emoji854][emoji854][emoji854]
Nakutafuta wee shogaaa kidawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aah Ndugu Yangu Hii Jezi Mimi Hapana Kwakweli, Kiherehere Chote Kimeniisha.