[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeeeeee!! "!!"!ila Ngowi Hapa Kwenye Hii Jezi Ya Kijani Katuongopea, Duuuh!, Kiherehere Chote Kimeniisha, Jezi Kaa Majani Ya Maboga [emoji29]
Weee shostitooooo vipi kwema????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatuwahi kua na kazi mbovu kiasi hiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shogaaa angu unalooooooo???Ngowi Hawezi Design Upuuzi Kama Huo Mkuu...Aweke Majengo Kwenye Jezi Kwani Ni Shati Hilo.
Madekio ya guest bubu vikindu huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui lkn naona kama msimu huu hatuna jeziView attachment 2307092
Dunia ya Salamander tower????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dunia inasimama kushuhudia uzi mpya leo
Acha kunifuata fuata wewe 😂😂Dunia ya Salamander tower????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi Takadini kapoa kupitia hizo dekio, yaan Ngowi kajua kuwatuliza khaaaah.Acha kunifuata fuata wewe [emoji23][emoji23]
Manara alishasema kilakitu kuwahusu[emoji23][emoji23], akili zenu hatuwezi ziaminiWadau nimeitia mikononi hiyo jezi, nikiri wazi ni jezi kali sana hiyo ya kijani ni kali narudia tena.
Nilipoona kwenye picha niliona tumepigwa. Ninayo na nimechagua hiyo ya kijani ni bonge la Uzi.
Mtu anamatatizo makuu hayaWadau nimeitia mikononi hiyo jezi, nikiri wazi ni jezi kali sana hiyo ya kijani ni kali narudia tena.
Nilipoona kwenye picha niliona tumepigwa. Ninayo na nimechagua hiyo ya kijani ni bonge la Uzi.
Kashike ukuta hukoHamza wa ubalozini huyu hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemuenzi, woiiiiiiiiih
Byuti byutiView attachment 2307426
Inabidi kuzozowea tu sababu hamna jinsi Ndugu.Aah Ndugu Yangu Hii Jezi Mimi Hapana Kwakweli, Kiherehere Chote Kimeniisha.
Hizi za kijani (home kits) hapana ila hizi nyingine fresh tu. Hapo ubunifu umepitiliza chumvi imekua nyingi kwenye mapishi
Ila Mtani tumejua kukunyanyasa yaani. 😅😅Hamza wa ubalozini huyu hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemuenzi, woiiiiiiiiih
Byuti byutiView attachment 2307426
Kwa hiyo tutumie nin kupigia picha?Mtu anamatatizo makuu haya
Njaa kali (Hana uhakika wa Milo mi3)
Ukosefu wa ajira
Nyege
Unafikiri ataona uzuri wa hiyo Jezi mkuu wangu
Ukivaa usipige picha na infinix/Tecno
Desgner apunguze kuweka hivyo anavyoita vivutio sababu kiukweli nje ya Tanzania sidhani kama yupo atakayejua hapo kuna mapango ya Bagamoyo au majengo ya Zanzibar.Hizi za kijani (home kits) hapana ila hizi nyingine fresh tu. Hapo ubunifu umepitiliza chumvi imekua nyingi kwenye mapishi
Muombe msamaha Anko NgasaaAnakimbia kimbia tu kama Mrisho Ngassa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SHERIA NGOWI AKAMATWE ANAIHUJUMU YANGA