DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi utopolo tunampa 100YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB HOME KIT
[emoji736]Benjamin Mkapa Stadium
[emoji736]Askari Monument
[emoji736]Maritime Control They Ower
[emoji736]Mountain Kilimanjaro
[emoji736]Soko Kuu Kariakoo
[emoji736]Kigamboni Bridge
[emoji736]Ngome Kongwe
[emoji736]Arusha Declaration Monument
[emoji736]Nyerere Square Dodoma
[emoji736]PSSSF Commercial Complex
[emoji736]Bismark Rock
Jezi ya Yanga Sc ya nyumbani imebeba historia ya nchi kiufupi.
Unampa asilimia ngapi @sheriangowi kwa ubunifu huu...?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nida textile industry, Kitenge mtelezo fahari ya UtopolooooNenda Kwenye Jukwaa Lenu Kule Mkaongelee Hata Mechi Yenu Ya Juzi Mliyofungwa Na Kikundi Cha Madereva Taxi Wa Misri [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weuweeeeeeee!!!!!Sawa, Si Tunasubiri Izo Za Kwenu Zenye Matangazo Ya Mudi Mpaka Matakoni [emoji23]
Tutazowea tu ndugu yangu. No way out.Kwakweli Sikutegemea Nilichokiona Hasa ile Home Kit Na Wala Nilikuwa Siamini Picha Za Hizi Jezi Jinsi Zilivokuwa Zinasambaa, Ujumbe Ulowekwa Kwenye Home kit Ni Mzuri ila Muonekano Wake Sasa Ndo Mtihani, Nadiriki Kusema Home Kit Yetu Ya Msimu Uliopita Ni Nzuri Sana Na Bado Haijachuja Natamani Kama Vp Wangeiacha Tu ile ile [emoji23], ila Poa Tu Lakini Mimi Kama Mwananchi Ntaishi Nayo Japo Kiukweli Kwasasa Sijaipenda Labda Ntaizoeaga Baadae.
Hahahaaa. Ni ugeni tu Mtani ikishazoeleka wala haina neno kabisa yaan.Mtani kwa kweli hata mashabiki wengi wenu wa Yanga wameibezaa.
Hapa mkubali Ngowi kawaingiza chaka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yan ningemuona wa maana huyo designer kama angeweka hayo kwenye training kits au warm up kits ile kabla ya mechi kuanza lakini kuweka kwenye wa uzi wa nyumbani kabisa ametukosea heshima.Desgner apunguze kuweka hivyo anavyoita vivutio sababu kiukweli nje ya Tanzania sidhani kama yupo atakayejua hapo kuna mapango ya Bagamoyo au majengo ya Zanzibar.
Sababu wengi watajua ni michoro tu ambayo haina maana yeyote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseehNjano na nyeusi kwangu ni nzuri, hiyo ya kijani hapana. Hivi wachezaji watakuwa wanaweza kukimbia kweli? Maana yale maghorofa sio mchezo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Oya nitolee pigo za kibwabwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaah angu, mda wa kuteseka badoo,
Yaan sahivi kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu pumzika,
Ukiamka vuta nguvu ya kuhimili maumivu msimu mzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti.
Basis sawa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa. Ni ugeni tu Mtani ikishazoeleka wala haina neno kabisa yaan.
Umekutwa na jambooo eeeh?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya nitolee pigo za kibwabwa
Ulitamba sana jana mkuu kuwa hiyo siyo yenyewe, mara chuma hiki hapa...mwamba ukapotea kwanza🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Daah Af Ndo Ukute Inakuwa Jezi Yetu Ya Bahati Msimu Huu Pamoja Na Kuiona Ni Mbaya Machoni Mwetu.
Yanga Wamejua Kuniua Jana [emoji23], Oyaa Nilipigwa Ganzii... Eheee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulitamba sana jana mkuu kuwa hiyo siyo yenyewe, mara chuma hiki hapa...mwamba ukapotea kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuishi nayo tu mkuu...
Hakuna namna
Tutaizoea Kweli Mkuu Na Hasa Tukifanya Vizuri Zaidi Ya Msimu Ulopita, Ngoja Tuishi Nayo Tu.Tutazowea tu ndugu yangu. No way out.
Amekukosea na nani? Umeiona kwa macho yako au??Yan ningemuona wa maana huyo designer kama angeweka hayo kwenye training kits au warm up kits ile kabla ya mechi kuanza lakini kuweka kwenye wa uzi wa nyumbani kabisa ametukosea heshima.
Jmn naomba link ya group la Yanga whatsapp.