The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Ingia u tube search Frederico Jr.Mambo zilikuwa mingi kidogo. Hahahaaa. Mkuu umeua kwamba huyo mbrazil ni moto wa kuotea mbali ama?
Yaani kesho kuna mawili, Yanga kushinda au Simba kufungwa.Na hawataamini.
Leo Simba atapigiwa mpira mpk maji aite mma.Bakari leo awe makini sana
Njia nzuri ya sisi kupona ni job na bakari wacheze kati kisha bakari DM pale akatulinde.
Mwenye timu yakeKama kawaida Timu ya Wananchi tunaendelea tulipoishia.
Ndo huyo huyo. Hahahahaaaa.View attachment 2323213Ndo huyo huyo
Asa tutafanyaje maana tungewaacha wangeongea sanaKabisa yaani π
Mayele ni levels aiseeNdo huyo huyo. Hahahahaaaa.
Hakika Ndugu.Tumefanikiwa kuwakata vilimi wale paka shume maana sio kwa kejeli zile aseeh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefanikiwa kuwakata vilimi wale paka shume maana sio kwa kejeli zile aseeh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika Ndugu.
Halafu Kuna yule naniliu sijui kajifichia wapi. π π π
Aisee. Yuko vizuri.View attachment 2323236
Kuna mjuba aliweka predictions zake humu humu jf, na dk aliweka
Aisee. Yuko vizuri.