Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Na mfungaji alikuwa yule yule aliyeleta majonzi kwa Manula nusura amvunje mbavu. 🤣🤣
Screenshot_20221110-032542_Instagram.jpg
 
Timu hii ilipigwa 8 na maembe ni mbovu sana,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bomu monchwari
 
Sherehe zimeshaisha eeeh, haya sasa niwapongeze watani Utopolo kwa kushinda mechi ya ugenini na hatimaye kufanikiwa kutinga hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika, kushinda ugenini kwenye mashindano ya Afrika sio kazi rahisi, yahitaji uwekezaji mkubwa wa hali na mali, wachezaji kujitambua kuwa wanawakilisha umati mkubwa wa mashabiki ambao wamewekeza furaha yao kwao endapo watafanya vizuri, viongozi nao wajue wamebeba dhamana kubwa sana, wanatakiwa kuwa wachezaji nje ya uwanja.

Kwa dhati kabisa niwapongeze wachezaji wa Utopolo kwa kujituma na kuipogania vema nembo ya klabu yao, brand name ya klabu yao, na kikubwa zaidi kuipeperusha vema bendera ya taifa ya Tanzania.

Kazi ndio kwanza imeanza, hatua ya makundi, ili upenye, kwanza ni kuhakikisha poits 9 za michezo ya nyumbani zote unazikomba, ugenini ukipata hata poit 1 tu, unatoboa robo fainali.

Ni muda muafaka sasa kufanya maandalizi ya kutosha, kusahihisha makosa yaliyoonekana, na kutafuta mechi za majaribio za kariba ya timu zinazoshiriki michuano hiyo mikubwa barani Afrika.

HONGERA SANA WATANI.
 
Sherehe zimeshaisha eeeh, haya sasa niwapongeze watani Utopolo kwa kushinda mechi ya ugenini na hatimaye kufanikiwa kutinga hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika, kushinda ugenini kwenye mashindano ya Afrika sio kazi rahisi, yahitaji uwekezaji mkubwa wa hali na mali, wachezaji kujitambua kuwa wanawakilisha umati mkubwa wa mashabiki ambao wamewekeza furaha yao kwao endapo watafanya vizuri, viongozi nao wajue wamebeba dhamana kubwa sana, wanatakiwa kuwa wachezaji nje ya uwanja.

Kwa dhati kabisa niwapongeze wachezaji wa Utopolo kwa kujituma na kuipogania vema nembo ya klabu yao, brand name ya klabu yao, na kikubwa zaidi kuipeperusha vema bendera ya taifa ya Tanzania.

Kazi ndio kwanza imeanza, hatua ya makundi, ili upenye, kwanza ni kuhakikisha poits 9 za michezo ya nyumbani zote unazikomba, ugenini ukipata hata poit 1 tu, unatoboa robo fainali.

Ni muda muafaka sasa kufanya maandalizi ya kutosha, kusahihisha makosa yaliyoonekana, na kutafuta mechi za majaribio za kariba ya timu zinazoshiriki michuano hiyo mikubwa barani Afrika.

HONGERA SANA WATANI.
Sisi Yanga tumeshatoka huko kwenye dhana za kizamani za kutegemea uwanja wa nyumbani, tabia hiyo ndiyo inayodumaza soka la kiafrika, ni kweli inatakiwa utilie mkazo mechi za nyumbani ila usiogope kutafuta ushindi mechi za ugenini, hiyo ndiyo modern football, kwanza unamuangalia mpinzani ukiona kazubaa zubaa unampiga huko huko kwao kama jana Yanga alivyofanya.

Kingine ni game dominance, walichokosea Club Africain ni kucheza na YANGA kwenye uwanja mzuri vile ilihali wakijua Yanga ni mnyama fulani mkubwa unapowaweka kwenye uwanja mzuri, wangewaiga Al hilal labda wangetoboa lkn co uwanja ule mana Yanga kwa kumiliki mpira hilo linajulikana.

Wapinzani mjipange kweli kweli mana hii Yanga kuna siku mtu atakuwa hagusi mpira mpk unaisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom