Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Timu mnayocheza nayo hata kocha haina,wazee wa bahasha za mihogo [emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi vitimu vinatoka huko hata kula chapati havijui wacha vifundishwe. Ifike mahali hata hizi mechi za mwanzo timu kubwa yaani simba na Yanga zikutane
 
Hivi vitimu vinatoka huko hata kula chapati havijui wacha vifundishwe. Ifike mahali hata hizi mechi za mwanzo timu kubwa yaani simba na Yanga zikutane
Mie nikawa nawaza hizi Simba, Yanga na Azam wangeziweka zikaanzia hizo round zinazofuata huko juu Sababu huku chini sana ni kama uonevu kwa timu ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…