Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Al HILALsawa tuma salamu kwa makolo watatu [emoji441]
Ukimaliza kaangalie msimamo wa ligiAl HILAL
IHEFU
Vipers
wanao tukimbiza wanajikwaa mwenyewe kuepusha kupoteza mda tupewe kombe letu wao wabaki wanacheza kombe la top fourKwa sasa ni 6 points clear. Walifurahi sana tulipofungwa na Ihefu wakasema afadhali points zimepungua nikawauliza na nyie mnaweza kutopoteza points wakajibu kwa majigambo ndio tunaweza. Sasa naona wao wenyewe wanaanza kuziachia
Muongezee mtu pointi moja tafadhali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na huu ndo msimamo baada ya mechi yetu ya jana.
View attachment 2453400
Tayari tayari. 🤣🤣Muongezee mtu pointi moja tafadhali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila wakiuangalia msimamo wanachoka[emoji23]Tayari tayari. [emoji1787][emoji1787]
Yaani imefikia hatua hawana hamu na huu msimamo.
View attachment 2455222
Acha roho mbaya waache kwanza wale sikukuu vitu vingine sio vya kukumbushanaTayari tayari. [emoji1787][emoji1787]
Yaani imefikia hatua hawana hamu na huu msimamo.
View attachment 2455222
Wataalam wa Ngada hawataki hata kuusikia!
Kila kitu kutaanza kujulikana siku ya J3. Sasa hivi kila mtu anaongea lake
Hakika Mkuu.Kila kitu kutaanza kujulikana siku ya J3. Sasa hivi kila mtu anaongea lake
Hivi wewe unaamini Feisal amastahili kuendelea kucheza hapa TZ?Kama hizi sio rumours kwa Feisal mi kwa upande wangu naona ni sawa tu sababu mwenyewe ndo ameshaamua na siku zote wanasema mpira ni ajira basi tumtakie kila la kheri.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Ujue bana sisi tunaeza kuona hastahili kucheza hapa Tz lakini yeye mwenyewe akajiona anastahili bado.Hivi wewe unaamini Feisal amastahili kuendelea kucheza hapa TZ?
Naamini hata yeye anajua hastahili ila kinachotokea hizi ni figisu tu. Jamaa wanaweza kuja kumuuza kwa pesa mingi sana. Atayefuata kuondoka ni Dickson Job kama hili la Feisal litatimiaUjue bana sisi tunaeza kuona hastahili kucheza hapa Tz lakini yeye mwenyewe akajiona anastahili bado.
Ila sio kesi tusubiri tuone kauli ya Klabu ambayo ndo itakuwa ni yenye uhakika kwa 100%.