CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Huwa nachukia nikiona shabiki anaumia eti mchezaji ametaka kusepa afu mtu alaumu Viongozi. Kama amesepa asepe, good thing ni kwamba eneo lake lina watu kibao wa kucheza.
Huu ndio muda wa kuona ubora wa watu kama Aziz Ki.
Always ukitanguliza tamaa matokeo yake huwa majuto.
KAVUMBAGU, SINGANO (MESSI), NGASSA nk
Mwacheni aende akapambane, Yanga ni kubwa kuliko Mtu, na naushauri uongozi kuachana na habari za kumfuatilia wala nn, wapige kimya, tujiandae na International games.
Mchezaji mwenye akili angesubiri acheze game za kimataifa ili ajiuze zaidi mbele huko na sio kuhangaika na timu za Dar.
Binafsi nimelipokea kwa kawaida sana, nikiwa najua huko mbele angetusumbua sana maana tulimjaza sifa, mpaka ameona bila yeye timu haiendi.
Huu ndio muda wa kuona ubora wa watu kama Aziz Ki.
Always ukitanguliza tamaa matokeo yake huwa majuto.
KAVUMBAGU, SINGANO (MESSI), NGASSA nk
Mwacheni aende akapambane, Yanga ni kubwa kuliko Mtu, na naushauri uongozi kuachana na habari za kumfuatilia wala nn, wapige kimya, tujiandae na International games.
Mchezaji mwenye akili angesubiri acheze game za kimataifa ili ajiuze zaidi mbele huko na sio kuhangaika na timu za Dar.
Binafsi nimelipokea kwa kawaida sana, nikiwa najua huko mbele angetusumbua sana maana tulimjaza sifa, mpaka ameona bila yeye timu haiendi.