Huyu leo anatobolewa na fay goli la mbaaaaaaaaali kudadek
We jidanganye tu.Huyu leo anatobolewa na fay goli la mbaaaaaaaaali kudadek
Inawezekana kamestukia mtego! Maana sasa hivi Aziz Ki kwa kweli ameanza kuja na utamu wake! Hili jambo mataahira ya Kariakoo yalivyolibeba utafikri wakiondoka Feisal Yanga itakufa! Nyoko sana haya Makolo!Ilikuwa suala la muda Fei kula mbao.
FEI anachezaji bila usajili? Akili za Ngada FC mnazijua wenyewe!Huyu leo anatobolewa na fay goli la mbaaaaaaaaali kudadek
Heeeeeeeee.......!!!!!!View attachment 2457877
Akili za wana ngada fc wengi ziko kwapaniFEI anachezaji bila usajili? Akili za Ngada FC mnazijua wenyewe!
Hahahaaa. Lol.Akili za wana ngada fc wengi ziko kwapani
Kweli kabisa....Nilisema hapa, Aziz Ki yuko vizuri mno, sema kama Watz tulimpigania Fei toto apate namba, ila hamfikii AZIZ KI.
Ndio ndio Mkuu.Wakati mengine yakiendelea la msingi ni hiliView attachment 2458440