Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
SureSema Hii Ya Njano Jina La Mdhamini “Haier”Halionekani Vizuri,Ni Kama Gold Imekataa Kuonekana Kwenye Uzi Wa Njano..
We jamaa kwa uhakika kabisa kwenye maisha yako nje ya JF utakua mchawi. Yan kila uzi naokukuta wewe ni negativity tu
𝑯𝒂𝒕𝒂 𝒌𝒆𝒔𝒉𝒐𝒌𝒆𝒔𝒉𝒐 𝒛𝒊𝒏𝒂𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒘𝒂𝒎𝒆𝒔𝒆𝒎𝒂 𝒏𝒊 𝑳𝒊𝒎𝒊𝒕𝒆𝒅 𝑬𝒅𝒊𝒕𝒊𝒐𝒏Hizi jersey zitaisha kabla ya muda uliotarajiwa, huyu Sheria Ngowi apewe heshima yake.
Ni kwenye Caf pekee.Kwahiyo hizi jezi tutazitumia kwenye ligi au ni caf pekee.
Kalia msumari uone kitacho tokea.Mnapenda jezi kuliko kutengeneza timu kimataifa
Visit kidimbwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji216][emoji216][emoji216][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089]
Wewe umekalia mwiko utakuwa na uzoefu mkubwa sana .Kalia msumari uone kitacho tokea.
Yanga kwa levo ya upuuzi waliofikia hata wakiuziwa magunia yenye nembo ya gsm wananunua hata kwa kuingia madeni ya vikoba ili mradi injinia asiwachomoe tu ule mwiko kule back.Hizi jersey zitaisha kabla ya muda uliotarajiwa, huyu Sheria Ngowi apewe heshima yake.
Yaani hapa jezi zote zimesimama.
Hii ndo inaonyesha kwamba Watanzania tukipewa nafasi tunaweza pia.Sheria Ngowi Kafanya Unyama Sana [emoji1487][emoji91][emoji91][emoji91][emoji172][emoji169]
Nakazia Mkuu. 😅😅Kwenye Masuala Ya Jezi Young Africans Tuna Dunia Yetu..Daah [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1487][emoji23]
Hiyo April Ifike tu Swahiba tuzidi kuwavuruga na viongozi wao.View attachment 2500788
Tunawatamani nyie makolo vibaya mno