Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kuna kazi anatakiwa alifanyie kazi ni moja ya tatizo kubwa la Yanga katika msimu hiu na ni moja ya sababu iliyosababisha kutolewa na Al Hilal. Timu inaposhambulia, kunakuwa na idadi ndogo sana ya wachezaji wa Yanga dhidi ya wachezaji wa timu pinzani. Na pia timu inategemea mawinga ila hatuna winga wa maana zaidi ya chizi fresh wetu Morrison
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…