We ni shabiki wa Putin ,,,sadio kanute ,,hamna Cha ZaidMIMI NI YANGA ILA HII SIMBA JAMAN ACHENI WACHEZE KIMATAIFA SISI TUCHEZE TU SHIRIKISHO LA WALIOFELI
FEISAL PLUS SPORTPESA[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kule Yanga wenye akili ni wangapi alisema yule manara?Hatunaga shabiki wa Yanga hana akili kama wewe!!!
Kule Simba yule mzee Tabora aliwaita ni akina nani!?Kule Yanga wenye akili ni wangapi alisema yule manara?
Daah hii kitu sijawahi kujua. Hongera kwetu
Kwani Mandunduka wanasemaje?
Waache watusindikize wako mgongoni kwetu huku tunawajambia!ππKuna timu walijiita unstoppable, lakin hadi sasa wako nyumanyuma kama mkia
Hii ndio Yanga Mkuu. πͺπͺ
Huu ndio mwanzo katika kuelekea kuutwaa ubingwa wetu kwa mara ya pili mfululizo.Daah hii kitu sijawahi kujua. Hongera kwetu
πππWaache watusindikize wako miongoni kwetu huku tunawajambia!ππ