Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
LUZAZ mpoooo????
Tutawapiga kama ngoma.Hawa Wanaigeria Wameyakanyaga Kisasi Lazima Tulipe Hapa [emoji169][emoji172]View attachment 2577802
Tutawapiga kama ngoma.
Kisinda hata kutuliza mpira tu shida kwake.Winga Teleza, Kisinda Out..
Yaani anakera, cross zake na finishing sasa.Kisinda hata kutuliza mpira tu shida kwake.
Luzaz ni kombe la vibonde.......
Hii habari kama ni kweli itakua poa sana. Ule upande wa Morrison atoke tu. Sijaona winger inapokea mpira inakufuata tena bila uoga Philipe Kinzumbi winger hatari sana hii
Morrison maigizo mengi.Hii habari kama ni kweli itakua poa sana. Ule upande wa Morrison atoke tu. Sijaona winger inapokea mpira inakufuata tena bila uoga Philipe Kinzumbi winger hatari sana hii
Njema aiseee, ShadeeyaHamna kitu kama hicho niamini mimi.
Mie nipo habari za.masiku Mtani?
Umeona pira samba , wauliulize Ihefu zamu yenu ikaribu. ShadeeyaHaya. Tuisubiri April 16.
Dulla naona umeanza kuleta vile vichekesho vyako. Teh tehHabari yenu tunayo uto mmeenda kisirisiri kuomba muingizwe super league na sifa hamna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mmetolewa nje