Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Sikuwa vizuri kiafya Mkuu hivyo nikalala hata kabla mpira haujaisha.Nilishangaa hukuweka matokeo jana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwa vizuri kiafya Mkuu hivyo nikalala hata kabla mpira haujaisha.Nilishangaa hukuweka matokeo jana.
We endelea tu kuhangaika. 🤣🤣🤣Pira hekaheka
Pira misukosuko
Pira kande
Pira bahasha waheed
Pira mang'amung'amu
Oke oke Mtani.Nipo sana, kuku wako manati yanini .Nitakusubiri hapahapa , maana huchelewi kuzima data[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana, unaendeleaje lkn.Sikuwa vizuri kiafya Mkuu hivyo nikalala hata kabla mpira haujaisha.
🙏🙏 Sijambo sasa Mkuu.Pole sana, unaendeleaje lkn.
Ihefu ni ya SRI LANKA????Kwa hapa Africa mashariki na kati hakuna timu ya kuifunga Yanga kwa sasa.
Wewe huna akili ndiyo maana unashindwa kuelewa lugha nyepesi kabisa licha ya kukudadavulia mwanzo.Ihefu ni ya SRI LANKA????
Naam Jirani.Timu ya Wananchi tunahitaji Points tatu muhimu leo.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Sema hizi game za usiku saa ingine natingwa siwi Online ila nikiwa online nitakutag Jirani.
Hapana Jirani.Sema hizi game za usiku saa ingine natingwa siwi Online ila nikiwa online nitakutag Jirani.
Niamini ushindi upo.
Na tukikutana na simba jumamosi tunachukua points tatu zingine tunakuwa tumewaacha kwa jumla ya points 11.
FT Simba 0 Yanga 2.Hapana Jirani.
Nakuambia hamshindi. Niamini Mimi. Takutagi mapemaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kinacheza vizuri tu jirani.