HAKIKA....!!!!Leo ndo ile siku Timu ya Wananchi tunakwenda kuchukua kombe lililobakia la ASFC. Tunajua wachezaji wamechoka sana lakini tunaimani watafanya jambo.
Kila la Kheri Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
HAKIKA....!!!!
Daima Mbele, Nyuma mwiko
DAR YOUNG AFRICAN [emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
Line up shemela please.
Hongera mwananchi.Bila shaka huu ndo ulikuwa ni msimu bora mno kwetu timu ya wananchi na hatimaye tumechukua kikombe kingine cha ASFC.
Haya tunayategemea tena next season kwa ukubwa na ubora zaidi ya huu. [emoji123][emoji123]
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Wee andazi uko wapi saizNdio kombe pekee yanga atachukua,Azam conf hapati hata kwa Dawa.Niiteni Andazi niko paleee
Wee andazi uko wapi saiz
Bila shaka huu ndo ulikuwa ni msimu bora mno kwetu timu ya wananchi na hatimaye tumechukua kikombe kingine cha ASFC.
Haya tunayategemea tena next season kwa ukubwa na ubora zaidi ya huu. [emoji123][emoji123]
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Tumeshazoea hayo maneno yenu Makolo[emoji23][emoji23][emoji23]Sahauni next season
Amka usingizini Mkuu.Sahauni next season
Mkuu na kikosi chao amekiona lakini?Tumeshazoea hayo maneno yenu Makolo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante ndugu yangu. Ndo tumemaliza msimu kwa medali kama zote.Hongera mwananchi.
Jitihada zenu ziko wapi za kuizuia Yanga msimu ujao isifanye kama ilivyofanya msimu huu.Sahauni next season