Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Leo ndo ile siku Timu ya Wananchi tunakwenda kuchukua kombe lililobakia la ASFC. Tunajua wachezaji wamechoka sana lakini tunaimani watafanya jambo.

Kila la Kheri Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
HAKIKA....!!!!

Daima Mbele, Nyuma mwiko

DAR YOUNG AFRICAN [emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
 
HAKIKA....!!!!

Daima Mbele, Nyuma mwiko

DAR YOUNG AFRICAN [emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
2828547_IMG-20210703-WA0009.jpg
 
Bila shaka huu ndo ulikuwa ni msimu bora mno kwetu timu ya wananchi na hatimaye tumechukua kikombe kingine cha ASFC.

Haya tunayategemea tena next season kwa ukubwa na ubora zaidi ya huu. [emoji123][emoji123]

#DaimaMbeleNyumaMwiko.

Sahauni next season
 
Mayele anabaki, nabi anabaki, kaze anaondoka anaenda kuwa kocha mkuu singinda big star, na Kizumbi hatui yanga, lkn yanga wanatafuta winger mmoja, Morrison anabaki lkn anapewa mashart mapya kweny mkataba....na nabi report yake itawekwa wazi juu ya wachezaji gani anawahitaji zaidi.
 
Back
Top Bottom