Siku ya Yanga Day huyu jamaa alifunika sana.Hapa max zengeli Kule zouzou kulia kuna scudu balaaaaaa!
Huyo max zengeli balaa sema na huyu youyoo atafanya tumsahau mapema djuma ShabanSiku ya Yanga Day huyu jamaa alifunika sana.
I hope akizowea atakuwa moto wa kuotea mbali.
Yao Yao ni zaidi ya Djuma Shaban!Huyo max zengeli balaa sema na huyu youyoo atafanya tumsahau mapema djuma Shaban
Ana balaa Yule ni Trent Alexander ArnoldYao Yao ni zaidi ya Djuma Shaban!
Draw hiyo hapo mkuuYanga tumepangwa na nani? Cafcl?
Vp hizi timu za Otoho na Al Merrikh ubora wao ukoje?Yanga itaanzia away dhidi ya timu ASA Djibouti kutoka nchi Djibouti. Yanga ikifuzu hapo itakutana na mshindi kati ya As Otoho ya Congo dhidi ya Al Merrikh kutoka Sudan. Pia kwenye raundi ya pili Yanga itaanzia tena away
Hapo nadhan El merreikh wako VIZURI..ila tutawakalisha...Vp hizi timu za Otoho na Al Merrikh ubora wao ukoje?
Binafsi nawaogopa zaidi Al Merrikh kwasababu wanauzoefu na hii michuano ya CAF. Hawa Otoh waliwahi kufika hatua makundi mara moja tu msimu wa 2018/2019 ila mara zingine zote ni hatua ya awali au ya pili wanishia.Vp hizi timu za Otoho na Al Merrikh ubora wao ukoje?
Huenda mechi zote zikachezwa uwanja mmoja au wakatafuta uwanja mwingine nje ya Sudan. Ila hawa jamaa wako vizuri mno, ni mfupa mgumu kwa Yanga. Tunapaswa kujipanga haswa, wana uzoefu na pia wana timu nzuri. Msimu uliopita walicheza hatua ya makundiHapo nadhan El merreikh wako VIZURI..ila tutawakalisha...
NAWAOMBEA SANA ,WAMALIZE VITA SUDAN
Hata sisi msimu uliopita tumekutana na timu zilikuwa hazijawahi kufungwa nyumbani lakini tukazifumua! Kwa Yanga hii yeyote anakaa!Binafsi nawaogopa zaidi Al Merrikh kwasababu wanauzoefu na hii michuano ya CAF. Hawa Otoh waliwahi kufika hatua makundi mara moja tu msimu wa 2018/2019 ila mara zingine zote ni hatua ya awali au ya pili wanishia.
Pamoja na kutokufuzu kucheza hatua ya makundi, Otoh ni habari nyingine akiwa nyumbani kwake. Hajafungwa nyumbani kwake
Msimu wa 2018/2019 kashinda 2:0 vs Mc Alger
Kashinda 2: 0 vs de Agosto
Kasuluhu vs Platinum
Msimu wa 2019 kamfunga Mamelod 2:1
Kasuluhu vs Al Merrikh
Msimu wa 2021/2022 kamfunga UD Songo 1:0
Katoa sare na petro Luanda
Msimu wa 2022/2023 katoa sare vs Cape Town
Hawajawahi kufungwa kwao hao jamaa.
Sikatai hilo linawezekana ila tupate kwanza straika mwenye uwezo wa kumzidi Mayele au awe sawa na MayeleHata sisi msimu uliopita tumekutana na timu zilikuwa hazijawahi kufungwa nyumbani lakini tukazifumua! Kwa Yanga hii yeyote anakaa!
Yanga Wafanye Kweli Kwa Karamoko Wa Asec Mimosas Waachane Na Huyo Mahop Sinaga Imani Kabisa Na Washambuliaji Wenye Miili Mikubwa Ukute Mwili Mkubwa Mpira Wenyewe Hamna, Akatuletea Mambo Ya Lukaku Pale Mbele.Sikatai hilo linawezekana ila tupate kwanza straika mwenye uwezo wa kumzidi Mayele au awe sawa na Mayele
Unaogopa ya David Moringa "Falcao"Yanga Wafanye Kweli Kwa Karamoko Wa Asec Mimosas Waachane Na Huyo Mahop Sinaga Imani Kabisa Na Washambuliaji Wenye Miili Mikubwa Ukute Mwili Mkubwa Mpira Wenyewe Hamna, Akatuletea Mambo Ya Lukaku Pale Mbele.
Tumeshusha straiker kutoka ghana Hafiz konkoniYanga Wafanye Kweli Kwa Karamoko Wa Asec Mimosas Waachane Na Huyo Mahop Sinaga Imani Kabisa Na Washambuliaji Wenye Miili Mikubwa Ukute Mwili Mkubwa Mpira Wenyewe Hamna, Akatuletea Mambo Ya Lukaku Pale Mbele.
Dah watu wako fasta mno.Tumeshusha straiker kutoka ghana Hafiz konkoni
Mapema sana washakusanha details
Kameota shavu! Hakataweza mpira haka!View attachment 2696073
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SIMBA 9
UTO 0