The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbn Tayari Mkuu [emoji23]
Kwamba tayari mzee wa kazi chafu tushamfukia kwenye kaburi la sahau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuzwa Pacome Mtaalam Sana Huyo Jamaa..[emoji91][emoji91]
Ni Mimi Huyo Mkuu Shadeeya.Hivyo ndo wewe pia huyu Mkuu?
Aaah Apotelee Petwee Huko Azam Na Fei Kubwa [emoji23][emoji23]Kwamba tayari mzee wa kazi chafu tushamfukia kwenye kaburi la sahau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata Leo Gamondi Anaweza Kumuweka Akiaamua Amuanzishe Au Sub, Yupo Fit Na Mazoezi Anafanya Kama Kawaida.Anaanza kucheza game gani huyu jamaa au ndio hamna taarifa maalum mpaka sasa.
Tunahitaji kumuona.
[emoji23]Leeo leo ndo leo. Leeo kivumbi na jasho.
Kila la kheri Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.