Hiviechi ya ligi tunacheza lini
JumatanoHiviechi ya ligi tunacheza lini
Poa mkuuJumatano
Kesho Mkuu tunacheza na KMC.Hiviechi ya ligi tunacheza lini
Saa ngapiKesho Mkuu tunacheza na KMC.
19:00hrs.Saa ngapi
Fiston alikuwepo kipindi hichombn game nyingi tu Ki Azz hua anaanzia bench tangu enzi za Nabii? Haikua upande wetu... Yanga mpaka sasa tukubali tuna safu mbovu ya ushambuliaji.. Katikati na nyuma tupo vizuri saana ( Japo wachezaji kama kibabage) sidhani kama ni msaada kwa timu kivile
Huyu hata mie nashindwa kumuelewa aisee.Hivi Musonda ni mzito au tumpe mda [emoji3166]
Huyu hata mie nashindwa kumuelewa aisee.