Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Unaweza kusema tumefika kutokana na mtazamo wa haraka na matokeo tunayopata lakini kimbinu na kiufundi kulingana na falsafa yangu bado kabisa hatujafika pale ninapotaka . Tunatakiwa kuwa bora na kuweza kudumu katika ubora huo kwa msimu wote “

“ kila kitu kipo hapa cha kutufanya tuwe bora . Tuna uongozi bora , mashabiki wenye upendo na timu yao na kikosi chenye mseto mzuri kuweza kukifanya kuwa bora uwanjani . Hatuhitaji kuridhika kwa sasa ! Bado mapema na tena mtazamo wa kuridhika kwangu haupo labda msimu ukiisha . Muda wote tunapaswa kuwa na kiu ya kushinda na mchezo bora pia “

🗣️ Gamondi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…