Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
HakunaView attachment 2731597
Vipi Kuna pengo la kocha wa viungo mpaka Sasa pale kwa Mabingwa wa nchi Yanga Africa?π€
Badala ya kwenda kudili na timu yako unakuja huku kufata niniPOT 3
YANGA
GWAMBINA
AVIC TOWN
MLANDEGE
Wasudani tutawapiga kama ngoma
Kabisa Mkuu.Wasudani tutawapiga kama ngoma
Ndugu zangu naomba msaada wa kuungwa kwenye group la yanga la WhatsApp, Admini yoyote yule naomba mnidaidie mwananchi mwenezenu...namba yangu ni 0787185478
Hapana mkuu mm ni mwananchi dam kabsaTunakuunga ila kama tutagundua wewe ni kolo wizard tunakuuondoa mara moja
Hapana mkuu mm ni mwananchi dam kabsa
Natumai wameshakuunga Mkuu.Ndugu zangu naomba msaada wa kuungwa kwenye group la yanga la WhatsApp, Admini yoyote yule naomba mnidaidie mwananchi mwenezenu...namba yangu ni 0787185478
Hahahaaa. Lol.Tunakuunga ila kama tutagundua wewe ni kolo wizard tunakuuondoa mara moja
Shida iliyopo wanahisi wakiandika kule sisi hatutaona. πKa thread ka Simba kamekondeana, yanakimbilia kujazana huku yanauacha uzi wa yenyewe ukipwaya! Mashabiki yasiyojielewa!
Tunaenda kumpiga mtu kama ngomaKikosi chetu kitakachosafiri kwenda Rwanda kumfuata El Merrikh
View attachment 2748897
[emoji23][emoji23][emoji23]Tunakuunga ila kama tutagundua wewe ni kolo wizard tunakuuondoa mara moja
Kabisa Mkuu. Sioni pakuponea.Tunaenda kumpiga mtu kama ngoma
Piga huyo El Merreikh.Kikosi chetu kitakachosafiri kwenda Rwanda kumfuata El Merrikh
View attachment 2748897